TANZIA Director Nisher afariki dunia

TANZIA Director Nisher afariki dunia

Depression yake ilisababishwa na nini while everything was there.?

Au ni vile hakupewa good support from his family mama and father.


Money ✅
Career✅
Fame ✅

It is pain Kama aliamua kujitoa uhai kisa hayo mambo hapo juu.
Hakupewa support?
Support gani?

Hadi alipokuwa amefikia,Baba yake alimsupport sana,
Na alimsomesha nje huko...aliporudi alikuwa anahudumu Kanisani Kwa Baba yake,hata alipotaka kuondoka kutafuta challenge mpya, Baba yake alimruhusu aingie kufanya bongofleva
 
Hakupewa support?
Support gani?

Hadi alipokuwa amefikia,Baba yake alimsupport sana,
Na alimsomesha nje huko...aliporudi alikuwa anahudumu Kanisani Kwa Baba yake,hata alipotaka kuondoka kutafuta challenge mpya, Baba yake alimruhusu aingie kufanya bongofleva

Mimi nimeuliza tu Ila najua na wewe haujui chochote kuhusu Nisher the same na mm.


Familia yake na marehemu ndo wanaujua ukweli
 
Mimi nimeuliza tu Ila najua na wewe haujui chochote kuhusu Nisher the same na mm.


Familia yake na marehemu ndo wanaujua ukweli
Statement yako naona hujaiweka kwa mfumo wa swali.

Ni kweli,Mimi na wewe hatujui
Ila maelezo ya Geordavie yalikuwa ni hayo.
 
View attachment 2840201
Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023.

Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
---

Aliyekuwa Mwanamuziki, Mwandaaji na Mwongoza Video za Muziki #Tanzania, Nic Davie maarufu #DirectorNisher amefariki Dunia Usiku wa kuamkia Desemba 12, 2023 huku Familia ikiwa haijaweka wazi chanzo cha kifo chake

Nisher ambaye ni Mtoto wa Mhubiri Geor Davie amewahi kuongoza Video za Wasanii mbalimbali, baadhi ni Weusi, BenPol, (Unanichora & Jikubali), Fid Q (Bongo HipHop), Baraka da Prince (Jichunge) na Young Killer ft. Fid Q (13) na kupata Tuzo ya Chaguo la Watu (Peoples Choice Awards) kama Director Bora wa Mwaka 2014
Rest in peace
 
Inawezekana kweli Aendelee kupumzika salama.

Life is meaningless sometimes.
Inaumiza sana🥹
Yaani
Pamoja na kutoka maisha ya kishuani ila anakufa kwa depression

Huyu angezaliwa huku kwetu kwenye hali ngumu sijui ingekuwaje🥹

Mtoto wa kiume pekeyake kwenye familia
What a loss💔
 
Inaumiza sana🥹
Yaani
Pamoja na kutoka maisha ya kishuani ila anakufa kwa depression

Huyu angezaliwa huku kwetu kwenye hali ngumu sijui ingekuwaje🥹

Mtoto wa kiume pekeyake kwenye familia
What a loss💔


Kuna mambo yalimlemea Kama kifo cha mtoto wake , mahusiano yake so depression ikachukua nafasi.
 

Attachments

  • criadormaloka-cor-1702133518091.jpeg
    criadormaloka-cor-1702133518091.jpeg
    105 KB · Views: 8
Mnatafuta nini kwenye makaburi ya watu? Mwacheni apumzike
 
Back
Top Bottom