Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hakupewa support?Depression yake ilisababishwa na nini while everything was there.?
Au ni vile hakupewa good support from his family mama and father.
Money ✅
Career✅
Fame ✅
It is pain Kama aliamua kujitoa uhai kisa hayo mambo hapo juu.
Hakupewa support?
Support gani?
Hadi alipokuwa amefikia,Baba yake alimsupport sana,
Na alimsomesha nje huko...aliporudi alikuwa anahudumu Kanisani Kwa Baba yake,hata alipotaka kuondoka kutafuta challenge mpya, Baba yake alimruhusu aingie kufanya bongofleva
Statement yako naona hujaiweka kwa mfumo wa swali.Mimi nimeuliza tu Ila najua na wewe haujui chochote kuhusu Nisher the same na mm.
Familia yake na marehemu ndo wanaujua ukweli
Statement yako naona hujaiweka kwa mfumo wa swali.
Ni kweli,Mimi na wewe hatujui
Ila maelezo ya Geordavie yalikuwa ni hayo.
Rest in peaceView attachment 2840201
Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023.
Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
---
Aliyekuwa Mwanamuziki, Mwandaaji na Mwongoza Video za Muziki #Tanzania, Nic Davie maarufu #DirectorNisher amefariki Dunia Usiku wa kuamkia Desemba 12, 2023 huku Familia ikiwa haijaweka wazi chanzo cha kifo chake
Nisher ambaye ni Mtoto wa Mhubiri Geor Davie amewahi kuongoza Video za Wasanii mbalimbali, baadhi ni Weusi, BenPol, (Unanichora & Jikubali), Fid Q (Bongo HipHop), Baraka da Prince (Jichunge) na Young Killer ft. Fid Q (13) na kupata Tuzo ya Chaguo la Watu (Peoples Choice Awards) kama Director Bora wa Mwaka 2014
Inaumiza sana🥹Inawezekana kweli Aendelee kupumzika salama.
Life is meaningless sometimes.
Inaumiza sana🥹
Yaani
Pamoja na kutoka maisha ya kishuani ila anakufa kwa depression
Huyu angezaliwa huku kwetu kwenye hali ngumu sijui ingekuwaje🥹
Mtoto wa kiume pekeyake kwenye familia
What a loss💔