TANZIA Director Nisher afariki dunia

Nawe Jaribu kuficha Uchi wa Akili yako. Kafa Ibrahimu, Yakobo,Daud, Musa, Kafa Eliya Mtshbi, Kafa Elisha aliyefufua watu na mifupa ya mwili wake ilipoangukiwa na Marehemu akafufuka. Kafa muddy(56) mme wa Bi. Aisha(9). Inawezekana hata kwenye Familia yenu wapo waliokufa. Utakufa wewe na kila kiumbe kitakufa sasa kwanini asife huyo mtoto.

Uzi wako umeuleta kwa nia ya kukashfu tu kama ilivyo kawaida yenu kizazi kisichojielewa. Ebu tumia hiko kichwa chako vizuri bwana mdogo.
 
Kifo ndio njia ya Mbinguni, Je, GeorDavie hataki mwanae atangulie Mbinguni?

Wewe unaweza kupata mtoto bila kuvuliwa chupi?
 
dini ni ujasiriamali kama ulivyo ujasiriamali mwingine, ukishalijua hilo wala hutojishughulisha kumuuliza maswali geor davie kuhusu kifo cha mwanae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…