TANZIA Director Nisher afariki dunia

Huyo sio nabii ni msanii au lugha nyepesi mpigaji kupitia sadaka za wajinga
 
Weeee nyamaza kimya huna mtoto ndo mana unajiongelea tu pumbavu zako wahedi...
 
Weeee nyamaza kimya huna mtoto ndo mana unajiongelea tu pumbavu zako wahedi...
Waliopoteza watoto wote wangekua washakufa wa kwanza Mimi, ongea tena wahedi Baba yako aliekosea hilo bao angepiga nyeto

Kuna wale wazee wa Arusha waliopoteza watoto wao kwa siku moja walikua watatu sijui wanne wote kwa ajali ya gari ingekua hivyo Si ungesikia wale wazee sasa ni marehemu
 
Hanscana na Khalfan walianza hizo kazi mikononi mwa Nisher. Na hata walianza kufanya kazi kivyao kwa kuondoka na baadhi ya vifaa vyake.

Kwa ukubwa walionao sasa wawili hao ni matunda ya Nisher kwa kiasi fulani, hasa kwa 'kuwasusia' baadhi ya vifaa hivyo walivyoondoka navyo.

Mungu ailaze roho yake mahali pema.

Ova
 
Inasikitisha Sana,Pole kwa ndugu , jamaa na marafiki.
 
Kwani Da Mange Kasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…