TANZIA Director Nisher afariki dunia

TANZIA Director Nisher afariki dunia

Habari wana jf, Poleni na harakari za hapa na pale za utafutaji, 🤝

• Katika maisha, hapa duniani binadamu tunapita,
"R. I. P NiSher Davie" , sote tupo njia moja. Mwenyezi mungu akupunguzie Adhabu ya kifo huko uendako 🙏🏿.


• Lakini kutokana na hili tukio la leo, nimejikuta najiuliza maswali machache :-

1.. Swali langu la kwanza : Kama kweli huyu ni Nabii (Geor Davie) je alishindwaje kutabiri kifo cha mtoto wake, ? ( au tuseme alijua kifo cha mtoto wake, lakini akaamua kukaa kimya ili kutimiza hatima ya mungu)?

2. Swali la pili : Kama kweli huyu ni nabii (Geor Davie) , je ameshindwaje kuwasiliana na mungu moja kwa moja kuhusu matatizo ya mtoto wake, ili ikiwezekana yatatuliwe mapema kabla ya umauti kumfikia NiSher ?

3. Swali la tatu : Sasa kama familia yao wanashindwa kuilinda kwa njia ya unabii wao, je mtu baki nitakaye enda kanisani kwake, nitaokolewa??

4. Swali la nne : Je tuwaite wapotoshaji !!, kama ni wapotoshaji kwa nini mamlaka zimekaa kimya?


5. Manabii wa zamani, mfano Eliya na Elisha walifanya matendo ya kimiujiza, ikiwa ni pamoja na kufufua watu, je nabii Geo davie atafufua mtoto wake?? 😐😐.
Haya yoote ni maswali yasiyokuwa na msingi wowote.
1. Daudi aliyependwa sana na Mungu alifiwa na kijana mzuri mnoo aitwaye Absalom...hakuna mtu alihoji

2. Manabii waliotangulia na kufanya makubwa nao walikufa...Kibaya zaidi nabii Elisha alifu kwa typhoid...iliitwa ugonjwa wa matumbo enzi zile.

Kutokana na haya huna hoja.

Haimanishi ukiwa nabii au mtumishi wa Mungu mabaya hayatakukuta..

Note: Geodavie mwenyewe ni nabii mwenye utata
 
Haya yoote ni maswali yasiyokuwa na msingi wowote.
1. Daudi aliyependwa sana na Mungu alifiwa na kijana mzuri mnoo aitwaye Absalom...hakuna mtu alihoji

2. Manabii waliotangulia na kufanya makubwa nao walikufa...Kibaya zaidi nabii Elisha alifu kwa typhoid...iliitwa ugonjwa wa matumbo enzi zile.

Kutokana na haya huna hoja.

Haimanishi ukiwa nabii au mtumishi wa Mungu mabaya hayatakukuta..

Note: Geodavie mwenyewe ni nabii mwenye utata
Kimsingi kaandika kwa lengo la kukashfu tu ila anajua ukweli.
 
Hii issue nlisikia mda kidogo istoshe kama mzee alikua amemtenga na kua karibu na mtoto wa kike na mumewe huyo mtoto...huyo binti na mumewe ndio wameshika mpini kwasasa kwenye sadaka ...fununu jamaa alikua ndani tu kwa uwezo wa angempeleka nje kupatiwa matibabu mana pesa anayo
mzee geodevie atakuwa anajua nini shida, na pengine zilitumika nguvu badala ya hekima na saikolojia katika kumhudumia... nisher kwanza wakishua, mzee ana pesa mzee ana connection, pili yeye mwenyewe mtu mkubwa, maarufu na bila shaka mzigo anao... hizo attempt za kujiua zinaonesha kuna mambo mazito yalikuwa yanamtatiza, pengine madawa, au mambo ya kifamilia.... sasa kuna uwezekano hakupata tiba sahihi ya kimwili, kiakili na kiroho (vitu vote hivi viko ndani ya uwezo wa baba yake)... sasa kuvikosa ndio huko majaribio kadhaa mpaka kufanikiwa kujiua... kifo hakina mbabe ila kama kweli ni kwa kujiua basi mzee wake atakuwa na mengi ya kujilaumu....
swala la kupoteza mtoto ni painfull lakn angepata msaada sahihi lilikuwa ni jambo la kupita, bado ni kijana Mungu angembariki mwingine.. hizo ni assumption zangu kwa sasa until further info kuhusu chanzo cha kifo chake.
 
Back
Top Bottom