Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Bado kazi alizofanya zinaishiNisher alishaachana na sanaa kabisa,nakumbuka alitangaza mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kazi alizofanya zinaishiNisher alishaachana na sanaa kabisa,nakumbuka alitangaza mwenyewe
Ila na yeye hakuwa serious bana! Yaan kiwembe kichinje shingo ya mtu mpaka afe kwanini hakuchukua kisu kama kisu arahisishe mamboNi Afya ya akili tu alikua anadipresheni
Kuna kipindi alijikata wembe Shingoni alitaka ajiue.Hali ikawa mbaya akalazwa Intensive Care Unit(ICU) naona imeshindikana..
Maombi ya mzazi wake yaligonga mwamba?FAMILIA YA NABII MKUU.MHE.DKT.GEORDAVIE INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA KIJANA WAO MPENDWA NIC DAVIE (NISHER) KILICHOTOKEA USIKU WA KUAMKIA LEO SAA NANE NA DAKIKA TISA.
MSIBA UNAFANYIKIA KATIKA NYUMBA YA MATAMKO KISONGO ARUSHA TANZANIA!!
2TIMOTHEO4:7
KweliRIP
Kwangu akitoka adam juma basi ni huyu video zake zilikuwa [emoji91]
KaahhApumzike kwa amani, bora angetangulia baba yake tapeli yule.
Kaka nimependa avatarOhooo.
Ni kama kuna kitu kimejificha nyuma ya hii comment mkuu
Jamaa tangu afiwe na mwanae hajawahi kuwa sawa kabisa Finally ameenda
Sio mtu wa show off na kwao zilkuwepo pia ni mtu ambae kibongo bongo ni miongoni mwa watu smart na wanajua kuvaa nguo harudiiR.I.P
Sijawahi hata kumsikia wala kumsoma kwenye maandishi.