Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Freemason wameanza kuchukua sadaka zaoš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio weusi tu... Alidirect weupe pia!Huyu ndo yule director wa weusi?
Huwa najiuliza sana.... Inakuwaje mtu yupo liquid kiasi hiki.... Maisha mazuri, shida ndogo ndogo kama zetu hana... Then unapata depression mpaka kujidhuru kiasi hiki.... Huwa sipati majibu kwa haraka.... Naombeni kusaidiwa hapa...Shida ni nn wakati kwao kuna mahela?na sie masikini tufanyeje sasa
Mungu hapokei mtuMungu aipokee nafsi ya mja wake....
Usiseme kiaina bali alileta mapinduzi ya uhakika. Ndie alieintroduce video mixing and production kwa kiwango cha 720p na 1080p Full HD hapa bongo baada ya Adam Juma kusumbua kwa muda mrefu sana akipuyanga kwenye 360p na 480p zote hizo zikiwa ni SD Quality.Apumzike kwa amani, alileta mapinduzi kiaina kwenye upande wa music videos.
Ni dua nzuri sanaaKaka nimependa avatar
Nashukuru kwa kuja na facts hizi, nilikuwa najua hayo mabadiliko ila sio kwa kiwango hiki ulichosema.Usiseme kiaina bali alileta mapinduzi ya uhakika. Ndie alieintroduce video mixing and production kwa kiwango cha 720p na 1080p Full HD hapa bongo baada ya Adam Juma kusumbua kwa muda mrefu sana akipuyanga kwenye 360p na 480p zote hizo zikiwa ni SD Quality.
Baada ya Nisher ndio wakazaliwa video producers wengi wa kizazi kipya kama kina Hanscana na wengineo.
Nimeichukua mda sanaaaNi dua nzuri sanaa
We kipepeo weeeweweFreemason wameanza kuchukua sadaka zao[emoji1787]
Pole bro yupo mda sanaR.I.P
Sijawahi hata kumsikia wala kumsoma kwenye maandishi.
WeeeMambo yalikua mengi alikua kafungiwa nyumbani tu
[emoji3][emoji3][emoji38]Pambaneni na umasikini wenu
[emoji112][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Joined october 27 2023, umejiunga Juzi kuja kutukana wazazi wako ?
Jf ni sehemu ya kujifunza siyo kutukana watu , matusi hayawezi kukuondolea umasikini ulionao
Niongezee kdg ,Adam visual lab alikua anatumia HDV ,effects nyingi , ila Nisher ukiacha quality alikuja na set up za outdoor indoor na lightsUsiseme kiaina bali alileta mapinduzi ya uhakika. Ndie alieintroduce video mixing and production kwa kiwango cha 720p na 1080p Full HD hapa bongo baada ya Adam Juma kusumbua kwa muda mrefu sana akipuyanga kwenye 360p na 480p zote hizo zikiwa ni SD Quality.
Baada ya Nisher ndio wakazaliwa video producers wengi wa kizazi kipya kama kina Hanscana na wengineo.
Mimi siamini Geor Davie kama ni mtumishi wa Mungu lakini katika maswali yako hakuna hata moja lenye hoja ya kimaandiko kwa sababu zifuatazo;Habari wana jf, Poleni na harakari za hapa na pale za utafutaji, š¤
⢠Katika maisha, hapa duniani binadamu tunapita,
"R. I. P NiSher Davie" , sote tupo njia moja. Mwenyezi mungu akupunguzie Adhabu ya kifo huko uendako ššæ.
⢠Lakini kutokana na hili tukio la leo, nimejikuta najiuliza maswali machache :-
1.. Swali langu la kwanza : Kama kweli huyu ni Nabii (Geor Davie) je alishindwaje kutabiri kifo cha mtoto wake, ? ( au tuseme alijua kifo cha mtoto wake, lakini akaamua kukaa kimya ili kutimiza hatima ya mungu)?
2. Swali la pili : Kama kweli huyu ni nabii (Geor Davie) , je ameshindwaje kuwasiliana na mungu moja kwa moja kuhusu matatizo ya mtoto wake, ili ikiwezekana yatatuliwe mapema kabla ya umauti kumfikia NiSher ?
3. Swali la tatu : Sasa kama familia yao wanashindwa kuilinda kwa njia ya unabii wao, je mtu baki nitakaye enda kanisani kwake, nitaokolewa??
4. Swali la nne : Je tuwaite wapotoshaji !!, kama ni wapotoshaji kwa nini mamlaka zimekaa kimya?
5. Manabii wa zamani, mfano Eliya na Elisha walifanya matendo ya kimiujiza, ikiwa ni pamoja na kufufua watu, je nabii Geo davie atafufua mtoto wake?? šš.