TANZIA Director Nisher afariki dunia

TANZIA Director Nisher afariki dunia

Shida ni nn wakati kwao kuna mahela?na sie masikini tufanyeje sasa
Huwa najiuliza sana.... Inakuwaje mtu yupo liquid kiasi hiki.... Maisha mazuri, shida ndogo ndogo kama zetu hana... Then unapata depression mpaka kujidhuru kiasi hiki.... Huwa sipati majibu kwa haraka.... Naombeni kusaidiwa hapa...
 
Apumzike kwa amani, alileta mapinduzi kiaina kwenye upande wa music videos.
Usiseme kiaina bali alileta mapinduzi ya uhakika. Ndie alieintroduce video mixing and production kwa kiwango cha 720p na 1080p Full HD hapa bongo baada ya Adam Juma kusumbua kwa muda mrefu sana akipuyanga kwenye 360p na 480p zote hizo zikiwa ni SD Quality.

Baada ya Nisher ndio wakazaliwa video producers wengi wa kizazi kipya kama kina Hanscana na wengineo.
 
Usiseme kiaina bali alileta mapinduzi ya uhakika. Ndie alieintroduce video mixing and production kwa kiwango cha 720p na 1080p Full HD hapa bongo baada ya Adam Juma kusumbua kwa muda mrefu sana akipuyanga kwenye 360p na 480p zote hizo zikiwa ni SD Quality.

Baada ya Nisher ndio wakazaliwa video producers wengi wa kizazi kipya kama kina Hanscana na wengineo.
Nashukuru kwa kuja na facts hizi, nilikuwa najua hayo mabadiliko ila sio kwa kiwango hiki ulichosema.
Hapo kwa Adam Juma umenichekesha msibani, lol.
 
Joined october 27 2023, umejiunga Juzi kuja kutukana wazazi wako ?

Jf ni sehemu ya kujifunza siyo kutukana watu , matusi hayawezi kukuondolea umasikini ulionao
[emoji112][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Usiseme kiaina bali alileta mapinduzi ya uhakika. Ndie alieintroduce video mixing and production kwa kiwango cha 720p na 1080p Full HD hapa bongo baada ya Adam Juma kusumbua kwa muda mrefu sana akipuyanga kwenye 360p na 480p zote hizo zikiwa ni SD Quality.

Baada ya Nisher ndio wakazaliwa video producers wengi wa kizazi kipya kama kina Hanscana na wengineo.
Niongezee kdg ,Adam visual lab alikua anatumia HDV ,effects nyingi , ila Nisher ukiacha quality alikuja na set up za outdoor indoor na lights
 
Habari wana jf, Poleni na harakari za hapa na pale za utafutaji, šŸ¤

• Katika maisha, hapa duniani binadamu tunapita,
"R. I. P NiSher Davie" , sote tupo njia moja. Mwenyezi mungu akupunguzie Adhabu ya kifo huko uendako šŸ™šŸæ.


• Lakini kutokana na hili tukio la leo, nimejikuta najiuliza maswali machache :-

1.. Swali langu la kwanza : Kama kweli huyu ni Nabii (Geor Davie) je alishindwaje kutabiri kifo cha mtoto wake, ? ( au tuseme alijua kifo cha mtoto wake, lakini akaamua kukaa kimya ili kutimiza hatima ya mungu)?

2. Swali la pili : Kama kweli huyu ni nabii (Geor Davie) , je ameshindwaje kuwasiliana na mungu moja kwa moja kuhusu matatizo ya mtoto wake, ili ikiwezekana yatatuliwe mapema kabla ya umauti kumfikia NiSher ?

3. Swali la tatu : Sasa kama familia yao wanashindwa kuilinda kwa njia ya unabii wao, je mtu baki nitakaye enda kanisani kwake, nitaokolewa??

4. Swali la nne : Je tuwaite wapotoshaji !!, kama ni wapotoshaji kwa nini mamlaka zimekaa kimya?


5. Manabii wa zamani, mfano Eliya na Elisha walifanya matendo ya kimiujiza, ikiwa ni pamoja na kufufua watu, je nabii Geo davie atafufua mtoto wake?? 😐😐.
Mimi siamini Geor Davie kama ni mtumishi wa Mungu lakini katika maswali yako hakuna hata moja lenye hoja ya kimaandiko kwa sababu zifuatazo;

  • Mtu akiwa nabii haina maana atatakiwa kujua kila kitu kilicho katika ratiba ya Mungu, kusema ukweli atafunuliwa vichache tu na kwa makusudi maalum;
    1 Wakorintho 13:9 Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu

  • Hili ni suala linamgusa mtu kibinafsi, yeye hata kama ni nabii wa Mungu wa kweli (kitu ambacho mimi siamini) haina maana anaweza kufanya muujiza wowote autakao kwa mtu yeyote amtakaye. Ana mapito yake kama mwanadamu na ilikuwa hivyo kwa manabii wengine wote tunaowajua na kuwaamini.
 
Back
Top Bottom