Alichomaanisha Huyu mzungu ni kwamba,wakifuata protocol za "Urais" filamu haitafanikiwaNimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.
Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.
Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.
Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.
Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Yaani kama machoko fulani. IdiotsShida iko wapi hapo ? mbona wabongo mmekaa kama wasengewasenge
Umeonaa😀😀😀 na mama yupo singo yule baba mpemba nasikia walipigana vibuti kitambo sema wanajishikiza kutokana na cheo cha mama kinahitaji hivyo🤣🤣😂😂
director afungwe segereaAmemkosea sana rais wetu...jana nilivyomsikia mh.Rais Clouds FM akimzungumzia huyo director Jinsi anavyomwambia maneno ya dharau nilishangaa sana...rais lazima apewe heshima yake.
Ni Sawa Na makobazi wanavyotulazimisha tuiheshimu Ramadhan,adhana,Quran?Mheshimiwa kwa nani ?
Heshima inalazishwa ?.., Ni choice yako hata kama ukitaka kumuita mtu Mtukufu hio ni Prerogative yako.., ila sio ulazimishe watu wafanye hivyo...
Mfano kuna watu wanaweza kuona kitu / mtu wewe unachokiheshimu kwamba ni cha hovyo, sasa kuwalazimisha hao nao wakiona kinaheshimika nadhani ni kupitwa na wakati...
Hujui lugha, umekaririshwaAmemkosea sana rais wetu...jana nilivyomsikia mh.Rais Clouds FM akimzungumzia huyo director Jinsi anavyomwambia maneno ya dharau nilishangaa sana...rais lazima apewe heshima yake.
Basi rais wa mwisho Tz ni JKikweteHata Wazungu wanajua Hapa Hatuna Raisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasiwasi wangu ni kubanduliwa Rais[emoji124][emoji124][emoji124]
View attachment 2208174
Naongeza bila kusahau kuigiza pornAkiacha tu urais anapewa scene za kuigiza uchawi..[emoji1787]
Simo..[emoji1550][emoji1550][emoji1550]Limekaa kizungu Sana hili leta Kama la hivi shuntama..[emoji23]
Ila siokoti makopo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chizi wee
Chief lady [emoji1545][emoji1533][emoji1534]Mungu Ambariki mama yetu....
View attachment 2208179
Ilikuwa kipindi cha Amplifaya cha Millard ayo Clouds FM jana 25/04/2022
mtu akiandika hili neno namdharau sana na sisomi tena alichoandika...hivi hiki ni kiswahili kweli?Kwani kakosea nini si urais wa urithi huo, wazungu hawana unafiki kama wewe unaejibembilee mbaka basi teuzi zimeisha we vp??