Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mtoa mada ni chawa..Pale misukule inapoishiwa hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada ni chawa..Pale misukule inapoishiwa hoja
Limekaa kizungu Sana hili leta Kama la hivi shuntama..😂Vampires n Demons [emoji23] [emoji1550][emoji1550][emoji1550]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akiacha tu urais anapewa scene za kuigiza uchawi..[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata hivyo mama kampenda sana director[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji23] jamani peeeter hukuliona hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila mtu na uamuzi wake.Well, heshima ni muhimu kuionuesha kwa kwa mwenye mamlaka kwa niaba ya wengi waliompa hayo mamlaka, hata kwa unafiki, tuonyeshe heshima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ewaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] director nitakuwa mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chizi weeVampires n Demons [emoji23] [emoji1550][emoji1550][emoji1550]
AiseeHata hivyo mama kampenda sana director🤣🤣🤣😀😀😂 jamani peeeter hukuliona hilo😂😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hands up![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuheshimu beberu.Kwanini director amemchukua nzungu wakati waafrika wapo??
Huu ni uzalendo?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Hands up!
Nilichoka sana nilupoona akaunti yake ya instagram ina follwers 26.k.Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.
Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.
Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.
Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.
Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
HaaaaaaaaAkiacha tu urais anapewa scene za kuigiza uchawi..[emoji1787]