The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
- Thread starter
-
- #881
Siasa hizi.Poleni /hongereni kwa upigaji wa kura !
Kwajina la 'Allah' , majina tiari yako shortlisted. Kuhusu kuyaachia iko wazi, ni maswala ya Kisiasa.
Kumbuka siasa ndo huamua maisha yako, mkurugenzi wa Wilaya/Halmashauri ndio msimamizi wa Uchaguzi na yeye ndo muhusika mkuu ambaye utapaswa kwenda kuriport pindi utapochaguliwa.
Je, wewe unahisi watajipangaje ?! Na ilipaswa wajipange haswa, maana upepo ulichange.
Kiselikari mambo hubadilika muda wowote, kwa manufaa yoyote.
Ile ilikuwa politiks tu mdogo wangu, sera ya ajira haipo kwenye plan za magufuliHaha mambo haya sio poa kabisa ukiyatilia maanani unaathirika kisaikolojia ni Bora hata wasingekuwa wanatangaza ajira let's say ajira tulizoomba miaka ilopita wangekuwa wanasort kwenye hio hio database na kuachia majina tu kuliko hivi wanavyofanya maana ni kukumbushia machungu na kutonesha vidonda mtu unajaribu ku move on na maisha nje ya ajira punde tu tangazo la kazi na danadana za ajira zinaanza Tena yaani ni kuumizana tu.
Yote kwa yote sisi was Arts wa 2015 tukikosa Tena ajira kwenye hizi zilizotoka Basi taratibu tutaanza kutoka kwenye mfumo wa kuajirika serikalini tuombe Sana MUNGU tuwepo kwenye hizi ajira
Kwa bajeti ipi mkuu?Second week of November baada ya raisi kuapishwa na baraza la mawaziri kutangazwa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ongeza na ile ya kuvukia barabara😂Inahitaji akili kubwa zaid ya ile ya darasan kuelewa mambo kwa karne hii..
Ongeza na ile ya kuvukia barabara[emoji23]
Sawa mpanga mipango wa serikalIle ilikuwa politiks tu mdogo wangu, sera ya ajira haipo kwenye plan za magufuli
Ilikuwa ni siasa kwahy we jipange kivyako....sahau kuhusu ajiraUchaguzi umeisha watupe sasa ajira
Kwa hiyo serikali ilidanganya watu wake?Ilikuwa ni siasa kwahy we jipange kivyako....sahau kuhusu ajira
Ajira zipo na soon wanatoa, sema vijana waha hamu nazo, ndo maana wanaloose imani pindi zinapochelewa.Kwa hiyo serikali ilidanganya watu wake?
Ajira zipo na soon wanatoa, sema vijana wana hamu nazo, ndo maana wanaloose imani pindi zinapochelewa.Kwa hiyo serikali ilidanganya watu wake?
Zinakuja, unafundsha masomo yapi dearUchaguzi umeisha watupe sasa ajira
Mbona unamsemea mwenzako mkuuBiology..
Hahaha watu wamevurugwa aseee....Mbona unamsemea mwenzako mkuu
Hali ni tete,Najua SULEIMAN JAFO unasoma hii comment maana upo humu jukwaani na hata wasaidizi wako wa PO-RALG wapo humu wanatuchungulia na excitation zetu juu ya Ajira mpya hizo.
Kesho achia majina ya vijana hao ili wasiende kuandamana uwafanye kua busy hizi wiki mpaka atakapoapishwa Mzee then at the end of this November waanze kuripoti vituo vyao vya kazi wakashiriki kuona namna gani mitihani ya taifa inafanyika pia na usimamizi wa shughuli shuleni kwani walimu wengi wataenda kusimamia.
Utaacha wafanye kazi December yote kuzoea mazingira ya shule halafu by January vijana waanze kazi rasmi ya ufundishaji huku wakiwa wameshazoea kituo chao cha kazi vizuri.
cc SULEIMAN JAFO
Ministry PO-RALG
Dodoma
01 November 2020
Bios/geo