Bora wew ulitumia browser gan kufunguaMimi jana nilifanikiwa mpaka kufika kwenye teaching subjects. Nikaona kuna masomo ya sayansi tu. Sasa jana uck nimejaribu kufungua. Maputo yanazungunga moaka sasa hivi asubuhi. Ccm mnatutesa sana
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Mpwapwa napasoma sanaNimeishi sana mpwapwa ila jamaa unaonekana mwongo balaa
Jamaa sijamwelewa alivyonitajia stand ya kikuyu wakati mabas ya kwenda mpwapwa yapo stand ya 88Mpwapwa napasoma sana
Nililala mapemaMpenz tulale
Umefanikiwa kutuma maombi ?Nililala mapema
Hapana aisee Mimi sio mwalimu na kibarua changu tayariUmefanikiwa kutuma maombi ?
Kile cha uhasibu auHapana aisee Mimi sio mwalimu na kibarua changu tayari
Hahaaa Siri yangu simwagi mchele penye kuku wengiKile cha uhasibu au
Nitumie pm hiyo Siri.Hahaaa Siri yangu simwagi mchele penye kuku wengi
Mrejesho wa nini? Au kuwasiliana kuhusu kutatuliwa shida gani? Eleza kuna watu wakubwa humuHamna mtu aliyewasiliana nao watupe jibu ?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nitumie pm hiyo Siri.
Usicheke tuma hiyo . Nipo siliasi na kuomba kazi[emoji23][emoji23][emoji23]
Utumishi wameweka ivyo vigezo ila tamisemi hawajaweka icho kigezo cha ku-certify..Ila Ni vizuri kufanya hivo maana mfano utumishi usipo sign barua pale chini hauchukuliwi interview, so hyo ni tahadhari tu incase of anything
Ilikuwa tahadhari tu na sio mbaya kufanyia hvoUtumishi wameweka ivyo vigezo ila tamisemi hawajaweka icho kigezo cha ku-certify..
andika in word format kwanza kisha save kwa pdf halafu ndio uwatumie!na vipi kuhusu barua unaandika kwa word then unaiweka pdf au unaandika kwa mkono kwenye karatasi the unascan??
lete nikujazie dadaDaa! Huu mfumo ni shida
Maputo yanazunguka weee hadi nimeanza kukata tamaa!