Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Samahani bi-dada unaposema Certify unamaana ipi hasa?.
Una toa vyeti original copy, then wanavipgwa mhuri na mwana Sheria then una scan na ku vi attach kwenye hyo application
 
Una toa vyeti original copy, then wanavipgwa mhuri na mwana Sheria then una scan na ku vi attach kwenye hyo application
Hiyo kitu INA umuhim kweli wakat tyr nimescan na details zinaonekana?
 
Hiyo kitu INA umuhim kweli wakat tyr nimescan na details zinaonekana?
It's a must kufanya hivo ajira za utumishi lazima u certify vyeti, hafu ili usiteseke ku scan maanna kitaa Ni ghali download application ya clearscanner kwenye simu yako, uwe una scan, Ila Mimi kukushauri as tahadhari vyeti toa copy viwe na mhuri wa mwanasheria ndio u scan, usisahau na Cha kuzaliwa
 
It's a must kufanya hivo ajira za utumishi lazima u certify vyeti, hafu ili usiteseke ku scan maanna kitaa Ni ghali download application ya clearscanner kwenye simu yako, uwe una scan, Ila Mimi kukushauri as tahadhari vyeti toa copy viwe na mhuri wa mwanasheria ndio u scan, usisahau na Cha kuzaliwa
Sawa..mbn ajira zilizopita watu hawaja certify lakin walipata..au naongopa
 
Sawa..mbn ajira zilizopita watu hawaja certify lakin walipata..au naongopa
Mimi sijui Ila zote tu hata ajira portal una certify tu ka tahadhari hata haifiki buku ten, na hao waliopata uliwauliza kuwa hawaku certify
 
It's a must kufanya hivo ajira za utumishi lazima u certify vyeti, hafu ili usiteseke ku scan maanna kitaa Ni ghali download application ya clearscanner kwenye simu yako, uwe una scan, Ila Mimi kukushauri as tahadhari vyeti toa copy viwe na mhuri wa mwanasheria ndio u scan, usisahau na Cha kuzaliwa
Sasa Kama mazingira unayoishi mwanasheria ni ngumu kumpata inakuwaj dada
 
Mimi sijui Ila zote tu hata ajira portal una certify tu ka tahadhari hata haifiki buku ten, na hao waliopata uliwauliza kuwa hawaku certify
Nimeuliza wakasema hawajafanya hivyo..kuna wengine walifanya na hawajapata so vice-versa is the case
 
Mwaka jana zilitokea nafasi kama hizi. Mimi nilipangiwa kazi halmashauli ya Mpwapwa Dodoma kama mwalimu wa Physics & Mathematics. Bila kusahau kua mimi sijasoma ualimu ila kwa sifa kama walizosema hapa ilikuepo hiyari yakuamua kuwa mwalimu.

Kufupisha story, ualimu nilifanya siku 4 nikaacha (Siku niliyoenda kesho yake nikaondoka, baada ya wiki mbili nikaenda tena nikakaa siku tatu nikaondoka milele, jumla siku nne). D.E.O alitaka nimsujudie, sikukubali. Siku zote 4 nilizokua kituo cha kazi sikupatikana hewani maana laini zangu za voda na tigo kule hazishiki kabisa.

Kuna gari moja tu linalotoka kule kwenda mjini. Linaondoka saa tisa usiku. Ukilikosa hilo hakuna tena safari. Kwakifupi kupanga safari yakwenda mjini ni kupanga mkesha.

Jumapili hilo gari halisafiri. Kwahyo ukikesha usiku wa ijumaa kuamkia jumamosi, utasafiri ufike mjini saa tatu asubuhi na ili jumatatu uwe kazini itabidi jumamosi hiyohiyo saa saba mchana uwe kwenye gari hiyo hiyo maana huo ndo muda wakurudi. So una chini ya masaa manne kukamilisha kilichokupeleka mjini. Ila unasafiri kwa zaidi ya masaa 13 kwenda mjini.

Nimechanganya mengi hapo ila shortly, nafasi ni chache watu ni wengi (Ni nafuu zaidi kama una Physics & Mathematics). Mazingira ya kazi ni Magumu. Mshahara ndo ivo tena. Kada ya ualimu inadharaulika.

Sikukatishi tamaa nasema uyafahamu mazingira yako ya kazi. Focus kwenye vision yako no matter how hard the situation seems to be. In my case at that time I chose to flee. I wouldn't recommend the same choice for you.

Niliambulia hela ya kujikimu thought.
Mkuu ulikuwa mang'aliza nn au godegode
 
Habari za muda huu wakuu,

Naomba kuuliza kama kuna mtu alishawahi fanikisha maombi ya ualimu kwenye mfumo wa TAMISEMI yaani OTEAS Kwa kutumia majina mawili pekee?

Maana mimi vyeti vyangu vya shule vyote vina majina mawili lakini mfumo unataka majina matatu ingawa kwenye cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha taifa yapo majina yote matatu

Je nikitaka kuweka jina la tatu naruhusiwa au kuna utaratibu mwingine natakiwa kufuata?
Nakazia: Mwenye kufaham, Atujuze tafafhali
 
mwenzenu nafungua naona kuna vitu kama maputo vinazunguka tu hahahahhahahhaha sielewi kitu hapa
Hahah
IMG-20200908-WA0048.jpg
 
Back
Top Bottom