Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Wale graduates wenzangu ambao tumeamua na kuridhia ku-hustle kimpango wetu na hatuna muda wala wazo la kujiriwa tujuane.

Kiukweli, sifikilii Kama nitakuja kutuma maombi ya kuajiriwa
The Humble Dreamer liked your comment.
 
Vijana msihadaike na WAHUNI hao, miaka yote walikua wapi? Hiyo pesa ya mishahara itatoka kwenye bajeti gani? Hii ni danganya toto ili kuwapiga DANADANA hadi Uchaguzi Mkuu upite.
 
fuatilia kampeni. lissu alishusha nyundo nzito kuhusu ajira. kufunika hilo mzee siku ya pili akatangaza ajira. watu wakamshukuru lissu. kwahiyo ujue hakuwa na mpango wa kuajiri kwasababu alichukulia kwake kampen zitakuwa mtelezo tu kwasababu ya hayo mandege aliyonunua. mambo yamekuwa magumu kwake mpaka anapaniki jukwaani. pongezi kwake lissu
Ajira HEWA hizo, mtakuja kunikumbuka. Bajeti yake ya mishahara imepitishwa kwa Bunge lipi?
 
Weka jina la tatu ambalo lipo kwenye cheti chako cha kuzaliwa. Inaruhusiwa na kukubalika kisheria
Habari za muda huu wakuu,

Naomba kuuliza kama kuna mtu alishawahi fanikisha maombi ya ualimu kwenye mfumo wa TAMISEMI yaani OTEAS Kwa kutumia majina mawili pekee?

Maana mimi vyeti vyangu vya shule vyote vina majina mawili lakini mfumo unataka majina matatu ingawa kwenye cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha taifa yapo majina yote matatu

Je nikitaka kuweka jina la tatu naruhusiwa au kuna utaratibu mwingine natakiwa kufuata?
 
System imegoma kufungua kabisa vp kwako inafunguka
Nimeona umemkoti Ndondocha pale kua English tu ndo wamependelewa nikataka nijue kama ulivyo sema Geography na kiswahili hakuna nione kama umeona
 
Habar wakuu kwahyo kwa waliosoma engineering hapo nao watafundisha secondary au vyuo vya veta na Technical school?? Mwenye uelewa tafadhari
 
Mkuu ulikuwa mang'aliza nn au godegode
Ni Ipera.
Kutoka kule kwenda Iringa (Ruaha mbuyuni) ni elfu 4 ila kwenda Dodoma mjini ni elfu 14, kwenda Mpwapwa Mjini ni elfu 8.

Ukitoka Mpwapwa kwenda huko ipera mkifika Kibakwe gari linasimamishwa mnunue chakula mle. Maana vijiji vinavyofata hakuna sehemu mnayoweza kula mpaka mnafika na safari bado ni ndefu.

Mkitoka Dodoma, gari inasimama kijiji kinaitwa Rudi ili mle. Japo hii ya dodoma sio obvious kusimama.
 
Ajira HEWA hizo, mtakuja kunikumbuka. Bajeti yake ya mishahara imepitishwa kwa Bunge lipi?
mkuu awamu hii kuna mambo yanapitishwa bungeni? rejea ununuzi wa ndege na miradi mikubwa mikubwa
 
Back
Top Bottom