Disappointment: Why watumishi wanachezewa hivi? No madaraja, no malipo ya madai ya mishahara

Disappointment: Why watumishi wanachezewa hivi? No madaraja, no malipo ya madai ya mishahara

Black Legend

Senior Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
174
Reaction score
301
oioioioioio.PNG

Kupitia waziri wa utumishi na utawala bora, mh Mohamed Mchengerwa, serikali iliahidi kupandisha watumishi wake vyeo kwa kada mbalimbali, ikiwepo na kutenga bilioni 300 kwa ajili ya kulipa madai ya malimbikizo ya mishahara.

Lakini siku ya leo baada ya mishahara kutoka kumekuwa na vilio kila kona ya watumishi kutoona mabadiliko kama ahadi ya waziri ilivyokuwa. Suala hili limezua taharuki, ni vizuri serikali ikatolea ufafanuzi mapema kuhusu suala hili.
 
Umemaliza?
KUPITIA WAZIRI WA UTUMISHI NA UTAWALA BORA, MH MOHAMED MCHENGERWA, SERIKALI ILIAHIDI KUPANDISHA WATUMISHI WAKE VYEO KWA KADA MBALIMBALI , IKIWEPO NA KUTENGA BILIONI 300 KWA AJILI YA KULIPA MADAI YA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA. LAKINI SIKU YA LEO BAADA YA MISHAHARA KUTOKA KUMEKUWA NA VILIO KILA KONA YA WATUMISHI KUTOONA MABADILIKO KAMA AHADI YA WAZIRI ILIVYOKUWA. SUALA HILI LIMEZUA TAHARUKI, NI VIZURI SERIKALI IKATOLEA UFAFANUZI MAPEMA KUHUSU SUALA HILI.
 
hivi haya mabadiliko yanayosemwa hua yanaonekana mwezi wa sita au mwezi wa 7??
 
Siyo wote waliopanda. Mimi na jamaa zangu lukuki hatujapandishwa, huku tukiwa kwenye orodha ya kupandishwa. Na mpaka sasa hatujasikia tamko lolote lile kutoka kwa wenye mamlaka.
Serikali ya SSH imelipa malimbikizo yote halali mwezi huu. mimi ni mmoja wa waliolipwa madai yangu ya tangu 2018.Namshukuru sana Rais kwa kunilipa baada ya kusota kwa miaka minne sasa.
Huyu anafurahi
KUPITIA WAZIRI WA UTUMISHI NA UTAWALA BORA, MH MOHAMED MCHENGERWA, SERIKALI ILIAHIDI KUPANDISHA WATUMISHI WAKE VYEO KWA KADA MBALIMBALI , IKIWEPO NA KUTENGA BILIONI 300 KWA AJILI YA KULIPA MADAI YA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA. LAKINI SIKU YA LEO BAADA YA MISHAHARA KUTOKA KUMEKUWA NA VILIO KILA KONA YA WATUMISHI KUTOONA MABADILIKO KAMA AHADI YA WAZIRI ILIVYOKUWA. SUALA HILI LIMEZUA TAHARUKI, NI VIZURI SERIKALI IKATOLEA UFAFANUZI MAPEMA KUHUSU SUALA HILI.
Huyu analia
 
Kuna waraka mmoja niliona mahali kuwa 60% ya watumishi wa umma hawana uwezo..manake ni vilaza mmoja wao ni huyu mleta uzi..tangulini mabadiliko ya mwaka wa bajeti waserikali yafanyike kabla mwaka mpya wa kiserikali haujaanza..subiri mwezi wa7 usipipandishwa ndio uhoji.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbna mnalialia kila siku ulishaona wapi pesa inatosha!

Wengine wanazililia hizo ajila..
Ebu tuheshimiane basi
 
Hamjazuiwa kufanya kazi kampuni binafsi au biashara. Acheni kutegemea kazi za serikali
Maisha hayapo hivyo kama unavyodhani. Ukitaka watumishi wote wa umma kufanya kazi kwenye kampuni binafsi au kufanya biashara, ni nani atakayefanya kazi Serikalini?

Kwa akili yako utasema "si wataajiri wafanyakazi wengine"? Jibu ni hili hapa; hata hao watakao ajiriwa, bado muda ukifika watadai tu haki zao za msingi kutoka kwa mwajiri!

Na hiyo ndiyo maana halisi ya " A Working Class, na pia Working Class Movements.
 
Kuna waraka mmoja niliona mahali kuwa 60% ya watumishi wa umma hawana uwezo..manake ni vilaza mmoja wao ni huyu mleta uzi..tangulini mabadiliko ya mwaka wa bajeti waserikali yafanyike kabla mwaka mpya wa kiserikali haujaanza..subiri mwezi wa7 usipipandishwa ndio uhoji.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa hoja yuko sahihi. Iweje wengine wapandishwe mwezi huu na wengine wasipandishwe? Serikali/Wizara ilitakiwa kutolea ufafanuzi badala ya kutuacha na sintofahamu.
 
hivi haya mabadiliko yanayosemwa hua yanaonekana mwezi wa sita au mwezi wa 7??
Mabadiliko ya kupandishwa mshahara ndio husubiri hadi budget mpya ya mwezi wa 7, lakini ya madai na madaraja ni ndani ya budget iliyopo na pia maamuzi ya kiongozi wa nchi.
 
Serikali ya SSH imelipa malimbikizo yote halali mwezi huu. mimi ni mmoja wa waliolipwa madai yangu ya tangu 2018.Namshukuru sana Rais kwa kunilipa baada ya kusota kwa miaka minne sasa.
Duuu shukuru sana zaidi
 
Huyu anafurahiHuyu analia
Jama wametupatia kweli. Hata kwenye makundi ya whatsapp ya makazini, mambo ni hayo hayo! Kuna wachache wamefurahi.

Wengine tumekosa cha kuchangia ili tu kuepusha kuchafua hali ya hewa. Hivyo tumeamua tu ku mute.
 
hivi haya mabadiliko yanayosemwa hua yanaonekana mwezi wa sita au mwezi wa 7??
Barua ndio ita determine, mfano walopandishwa vyeo tarehe 1 mwezi huu itabidi mabadiliko yaonekane mwezi huu
 
Kuna waraka mmoja niliona mahali kuwa 60% ya watumishi wa umma hawana uwezo..manake ni vilaza mmoja wao ni huyu mleta uzi..tangulini mabadiliko ya mwaka wa bajeti waserikali yafanyike kabla mwaka mpya wa kiserikali haujaanza..subiri mwezi wa7 usipipandishwa ndio uhoji.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kitu kaa kimya,watu wamepanda mwezi huu
 
Back
Top Bottom