Discipline: Somo zuri kutoka kwa marehemu Bruce Lee

Kwa hyo nayo ni rekodi ya kusema akumbukwe????

Harafu ulivyokuwa huna aibu unawalinganisha hao viumbe vyako na Yesu kundi moja daaah!!!

Mkuu leo umetoa boko!!!

Takataka yako pale juu edit tena.
Hajaweka orodha ya watu wazuri,Bali walioweka record
 
Umeisha sana mzazi.[emoji1666]
 
Naona unanijadili,
 
Yawezekana ni kweli bruce lee ana rekodi ya kutowahi kupigwa hata siku moja. Pambano ambalo hakushimda alikua anamiaka 13 kama sijasahau..alitoka Draw
Hayo mapambano yalikuwa ya mashindano gani na alipambana na kina nani?
 
Hayo mapambano yalikuwa ya mashindano gani na alipambana na kina nani?
Kabla sijajibu labda nawewe uniambie ni nani alimpiga maana rekodi zake zote zinaonyesha hajawahi kupigwa. Wala kushindwa pambano.
 
Nyingine ni stori za kwenye kahawa, yaan sekunde moja arushe mateke 6, spidi kiasi camera man achukue slow motion 🤣
 
Mita 100 kwa sekunde 10 kasoro hii inawezekana. yaani kwa kila sekunde 1 alikuwa anaruka mita 1 na point kadhaa tufanye mita 1.2 hivi.
Sasa jamani kwahiyo walimsemea uongo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…