Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikua anashindana na umeme kwa kutumia gloves za umeme..Nami nimejiuliza mara mbili mbili. Chumvi ya Uvinza.
Mtu ambaye hafuatilii , huwezi bishana nae, kwa taarifa tu Bruce ngumi yake moja ilikua na zaidi ya kilo mia mbili, kwa wale wanaofahamu nini maana ya kupima kilo kwenye sparring.....Hahahaaa acha ubishi mkuu. Hata video zipo nyingi tu zaonyesha akifanya hvo
Mwambie akaangalie kwa makini sana movie ya enter the dragon, kulikua hakuna editing enzi hizo kama za sasaBando kisanga man..
Sio teke za msosi wa broiler na chips kavu mkuu, ni teke za mazoezi mazito na meditation ngumu za martial arts...Hata Mimi nimeshangaa sana anapiga teke saa ngapi?anarudisha mguu saa ngapi?anajiandaa saa ngapi ili apige teke lingine.
Ama kweli hii ni ajabu na kweli.
Hawaamini kabisa.. Bruce alikua mtu wa mazoezi mazito.. Ngumi yake ilikua imauzito kuliko ngumi ya mohamed ali.. japo mudi alikua ana mwili mkubwa kumshindaSio teke za msosi wa broiler na chips kavu mkuu, ni teke za mazoezi mazito na meditation ngumu za martial arts...
Kuwaelewesha hao waelewe ni kazi kubwa, sawa na kumchukua mreno original ukamlazimisha kuelewa kindengerekoHawaamini kabisa.. Bruce alikua mtu wa mazoezi mazito.. Ngumi yake ilikua imauzito kuliko ngumi ya mohamed ali.. japo mudi alikua ana mwili mkubwa kumshinda
Kuna documentary moja, katika maongezi waliweka kifaa ukutani cha kupimia uzito wa ngumi, jamaa alipopeleka ngumi yake jamaa walibaki hawaamini macho yao baada kipimo kusoma 223.8kg.Hawaamini kabisa.. Bruce alikua mtu wa mazoezi mazito.. Ngumi yake ilikua imauzito kuliko ngumi ya mohamed ali.. japo mudi alikua ana mwili mkubwa kumshinda
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hiyo unataka kusema wanaume wa Kinondoni ndio mateke yao ya polepole sana.Sio teke za msosi wa broiler na chips kavu mkuu, ni teke za mazoezi mazito na meditation ngumu za martial arts...
Yaah, wa kinondoni hata akirusha teke naweza kulipangua na moshi wangu wa fegi tuu..[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hiyo unataka kusema wanaume wa Kinondoni ndio mateke yao ya polepole sana.