Discipline: Somo zuri kutoka kwa marehemu Bruce Lee

Discipline: Somo zuri kutoka kwa marehemu Bruce Lee

What kind of moves u can do?
Tutafutane ukiwa na mda, huenda ukauona uwezo wangu vizuri, nimeanza huu mchezo nikiwa darasa la nne na kaka zangu wote walikuwa wanacheza michezo yote karate, judo, kick box hata taikondo, nilikuwa nawafata wananizuia ila baadae nikapendwa na mwalimu mmoja akawazuia kuwa wananifukuza. Akaanza kunifundisha kutafuta stamina na mikao mbali mbali na baada ya mda nikaaza rasimi na nilikuwa ndo mdogo peke yangu.

Nilikutana na vijana wa umri wangu wengi kupimana uwezo lakini mimi nilikuwa haraka zaidi yao na hakuna aliyeweza kunishinda ,hadi naachana na mwalimu huyo naenda secondary nilikuwa vizuri sana,hadi leo mtaani wananijua kuwa nilianza sanaa za mapigano tangu zamani, yani ni kama hobby tu,, mana hata nilipokuwa katoto nilikuwa sikubali kushindwa ,nakumbuka niliwahi kupigwa na mdada mmoja aliyekuwa mkubwa zaidi baada ya kutuharibia mchezo wetu na kutufukuza mimi nikabaki nikasema napigana na yeye, alinipiga mana alikuwa mkubwa sana ila sikukubali hadi wanakuja kuamua wanakuta nimeumia sana na yeye kachoka utazani anapigana na mkubwa na hali mimi nilikuwa kitoto kidogo,na hapo nilikiwa sina elimu yoyote ya mapigano.

Hao kaka zangu walikuwa na uwezo mkubwa sana, ukiwakuta wanafanya mazoezi utazani niwachina wapo pale, walikuwa wanacheza michezo yote na walikuwa na nidhamu sana mazoezi yalikuwa yanafanyika kuanzia saa kumi usiku hadi saa moja na jioni saa kumi na mbili hadi saa tatu,na walikuwa wanakimbia mbio ndefu sana hivyo pumzi walikuwa nayo sana.

Mwisho,hii kazi ni ngumu na inataka moyo wa kujitoa kweli kweli mana usipofanya mazoezi wiki moja au siku tatu au nne utagundua kuna vitu unapoteza, yani hata ukiwa safari ukifika sehemu pana utulivu lazima ufanye mazoezi, mahari popote lazima upate hata nusu saa au lisaa limoja u practice.
 
Tutafutane ukiwa na mda, huenda ukauona uwezo wangu vizuri, nimeanza huu mchezo nikiwa darasa la nne na kaka zangu wote walikuwa wanacheza michezo yote karate, judo, kick box hata taikondo, nilikuwa nawafata wananizuia ila baadae nikapendwa na mwalimu mmoja akawazuia kuwa wananifukuza. Akaanza kunifundisha kutafuta stamina na mikao mbali mbali na baada ya mda nikaaza rasimi na nilikuwa ndo mdogo peke yangu.

Nilikutana na vijana wa umri wangu wengi kupimana uwezo lakini mimi nilikuwa haraka zaidi yao na hakuna aliyeweza kunishinda ,hadi naachana na mwalimu huyo naenda secondary nilikuwa vizuri sana,hadi leo mtaani wananijua kuwa nilianza sanaa za mapigano tangu zamani, yani ni kama hobby tu,, mana hata nilipokuwa katoto nilikuwa sikubali kushindwa ,nakumbuka niliwahi kupigwa na mdada mmoja aliyekuwa mkubwa zaidi baada ya kutuharibia mchezo wetu na kutufukuza mimi nikabaki nikasema napigana na yeye, alinipiga mana alikuwa mkubwa sana ila sikukubali hadi wanakuja kuamua wanakuta nimeumia sana na yeye kachoka utazani anapigana na mkubwa na hali mimi nilikuwa kitoto kidogo,na hapo nilikiwa sina elimu yoyote ya mapigano.

Hao kaka zangu walikuwa na uwezo mkubwa sana, ukiwakuta wanafanya mazoezi utazani niwachina wapo pale, walikuwa wanacheza michezo yote na walikuwa na nidhamu sana mazoezi yalikuwa yanafanyika kuanzia saa kumi usiku hadi saa moja na jioni saa kumi na mbili hadi saa tatu,na walikuwa wanakimbia mbio ndefu sana hivyo pumzi walikuwa nayo sana.

Mwisho,hii kazi ni ngumu na inataka moyo wa kujitoa kweli kweli mana usipofanya mazoezi wiki moja au siku tatu au nne utagundua kuna vitu unapoteza, yani hata ukiwa safari ukifika sehemu pana utulivu lazima ufanye mazoezi, mahari popote lazima upate hata nusu saa au lisaa limoja u practice.
Hebu acha kuongopa saa kumi usiku mpaka saa moja jioni Kwahiyo walikuwa hawana kazi ya kufanya mimi mwenyewe nimejifunza kwa uncle wangu na mwalimu mkubwa mazoezi ya kufanya saa kumi usiku mpaka saa moja usiku ni kuongopea watu
 
Soma vizuri, saa kumi usiku hadi saa moja za asubui wanaenda kwenye shuguri zao ,hadi jioni tena saa kumi na mbili hadi saa tatu,mbona kawaida kabisa
Hebu acha kuongopa saa kumi usiku mpaka saa moja jioni Kwahiyo walikuwa hawana kazi ya kufanya mimi mwenyewe nimejifunza kwa uncle wangu na mwalimu mkubwa mazoezi ya kufanya saa kumi usiku mpaka saa moja usiku ni kuongopea watu
 
Tutafutane ukiwa na mda, huenda ukauona uwezo wangu vizuri, nimeanza huu mchezo nikiwa darasa la nne na kaka zangu wote walikuwa wanacheza michezo yote karate, judo, kick box hata taikondo, nilikuwa nawafata wananizuia ila baadae nikapendwa na mwalimu mmoja akawazuia kuwa wananifukuza. Akaanza kunifundisha kutafuta stamina na mikao mbali mbali na baada ya mda nikaaza rasimi na nilikuwa ndo mdogo peke yangu.

Nilikutana na vijana wa umri wangu wengi kupimana uwezo lakini mimi nilikuwa haraka zaidi yao na hakuna aliyeweza kunishinda ,hadi naachana na mwalimu huyo naenda secondary nilikuwa vizuri sana,hadi leo mtaani wananijua kuwa nilianza sanaa za mapigano tangu zamani, yani ni kama hobby tu,, mana hata nilipokuwa katoto nilikuwa sikubali kushindwa ,nakumbuka niliwahi kupigwa na mdada mmoja aliyekuwa mkubwa zaidi baada ya kutuharibia mchezo wetu na kutufukuza mimi nikabaki nikasema napigana na yeye, alinipiga mana alikuwa mkubwa sana ila sikukubali hadi wanakuja kuamua wanakuta nimeumia sana na yeye kachoka utazani anapigana na mkubwa na hali mimi nilikuwa kitoto kidogo,na hapo nilikiwa sina elimu yoyote ya mapigano.

Hao kaka zangu walikuwa na uwezo mkubwa sana, ukiwakuta wanafanya mazoezi utazani niwachina wapo pale, walikuwa wanacheza michezo yote na walikuwa na nidhamu sana mazoezi yalikuwa yanafanyika kuanzia saa kumi usiku hadi saa moja na jioni saa kumi na mbili hadi saa tatu,na walikuwa wanakimbia mbio ndefu sana hivyo pumzi walikuwa nayo sana.

Mwisho,hii kazi ni ngumu na inataka moyo wa kujitoa kweli kweli mana usipofanya mazoezi wiki moja au siku tatu au nne utagundua kuna vitu unapoteza, yani hata ukiwa safari ukifika sehemu pana utulivu lazima ufanye mazoezi, mahari popote lazima upate hata nusu saa au lisaa limoja u practice.
Mimi nilicheza kidogo tu nikiwa lasaba hadi form 2.. haya mambo hayana faida kiuchumi.. nina marafiki zangu (Twice my age) wanapiga mkono ila kiuchumi zero. Mimi nishasema mtu akinionea kwa kupiga mkono naenda kwetu kumlia kidono. Aone nitakavyo mvunja
 
Mimi nilicheza kidogo tu nikiwa lasaba hadi form 2.. haya mambo hayana faida kiuchumi.. nina marafiki zangu (Twice my age) wanapiga mkono ila kiuchumi zero. Mimi nishasema mtu akinionea kwa kupiga mkono naenda kwetu kumlia kidono. Aone nitakavyo mvunja
Kutokana na nchi zetu za africa, lakini ukiwa mbele yana faida sana, mana hao ndugu zangu walikuwa wanacheza kama wachina kabisa, unataman uwaangalie tu, kulikuwa na uwanja kalibu na barabarani watu walikuwa wanaenda kuwatazama ile asubui,watu wanapoteza mda wao kuangaria wanavyocheza,kuna kaka yangu mmoja alikuwa anacheza taichi yenyewe huyo ndo alikuwa balaa, pia alikuwa na akiri sana.

Alikuwa na uwezo wa kumwangalia jet lee kwenye movie then anakuja kucheza kama alivyokuwa anacheza kwenye sinema, kila kitu anacopy na kinaenda sawa.Ila sasa kama unavyosema haya mambo hayana faida kiiviile kwa nchi zetu hizi.
 
Sekunde moja hauwez ata kufumba macho na kufumbua Mara 3 itakua ishapita. Akili za kupewa changanya na zako
Itakuwa kweli kwani bolt yule mkimbiaji wa jamaika alikuwa anakimbia almost sekunde 9 kwa mita 100 inamaana alikuwa anakimbia mita kama 10 kwa sekunde.
Hivyo kupiga mateke sita kwa sekunde moja naona kama alikuwa anapiga machache
 
brooo asante sana umenikuna sana ngoja niendelee kujifunza ninacho jifunza
 
Ni sawa lakini kuna kitu kina uongo hapa..mateke 6 kwa sekunde moja? Big NO
 
Back
Top Bottom