Dismas Ten ulitaka kutufanyia Mtima Nyongo Yanga, huwezi shindana na Serikali wewe

Huyu Dismas ten alivyokuwa Yanga alikuwa bingwa wa kubuni jezi zenye mvuto. Nimeona na Singida Wana jezi Kali kuliko timu yoyote Tanzania tofauti na za Yanga za mavibwengo na Simba kama Yale manguo ya mawingu ya zamani.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…