Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Jan 17, 2023 #21 redio said: ... mbona Leo Metacha amesajiliwa Yanga akitokea Singida Mbumbumbu fc mnakasirika? Click to expand... Mimi nikiangalia maoni ya mitandaoni, nionavyo wengi waliokasirika Metacha kusajiliwa tena ni wana Yanga, akiwemo Dismas Ten
redio said: ... mbona Leo Metacha amesajiliwa Yanga akitokea Singida Mbumbumbu fc mnakasirika? Click to expand... Mimi nikiangalia maoni ya mitandaoni, nionavyo wengi waliokasirika Metacha kusajiliwa tena ni wana Yanga, akiwemo Dismas Ten
leadermoe JF-Expert Member Joined Feb 15, 2017 Posts 1,392 Reaction score 4,588 Jan 17, 2023 #22 avogadro said: Huyu Dismas ten alivyokuwa Yanga alikuwa bingwa wa kubuni jezi zenye mvuto. Nimeona na Singida Wana jezi Kali kuliko timu yoyote Tanzania tofauti na za Yanga za mavibwengo na Simba kama Yale manguo ya mawingu ya zamani. Click to expand... [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
avogadro said: Huyu Dismas ten alivyokuwa Yanga alikuwa bingwa wa kubuni jezi zenye mvuto. Nimeona na Singida Wana jezi Kali kuliko timu yoyote Tanzania tofauti na za Yanga za mavibwengo na Simba kama Yale manguo ya mawingu ya zamani. Click to expand... [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]