Diva ajiunga na Wasafi Media

Diva ajiunga na Wasafi Media

Diva ana sauti nzuri sana na kana swagg na kipaji kipo, ila sina uhakika kama wasafi atafikisha hata miezi sita, Kufanya kazi na diva ni pasua kichwa. Hata baada ya jana kutambulishwa na mbwe mbwe zote, ni kama watu wameamua kumpotezea.

Haka kadada kana Tabia za ajabu ajabu, kanajifanyaga yeye ndo Mungu mtu, muongo, mnafiki, kigeugeu halafu ana kiburi, huyu kama atafanya wafanyakazi wenzie wahame mjengon basi yeye ataondolewa.

Hapo kashepewa gari tutakoma mwaka huu
Binamu kipindi chake kinaitwaje vile na huwa kipo hewani siku gani na saa ngapi?
Nataka nimsikilize na mie coz simjui
 
Mkuu I am talking from the inside, swala la Diva kwenda Wasafi ni discussion ya muda mrefu na aliyekuwa anaichelewesha ni Diamond, alikuwa hamtaki.

Baada ya negotiations kwa mwongozo wa Godfather mwenyewe ndo Diamond amebidi akubali, but he is still bitter.

Diamond ni part owner na ni mkurugenzi mtendaji, na ana hold nafasi nyingi za maamuzi, lakini kuna vitu vingi vinafanywa kwa mwongozo wa Kussaga.
Ulikuwepo kwenye hayo mazingumzo?
 
Kumbe ukiwa na chuki nyingi sometime ni sababu ya njaa si alisemaga hawezi kuajiriwa na domo bora akauze bagia shuleni huyu.
[emoji23][emoji23][emoji23] unafiki hauwezi kuisha.
 
Diva ana sauti nzuri sana na kana swagg na kipaji kipo, ila sina uhakika kama wasafi atafikisha hata miezi sita, Kufanya kazi na diva ni pasua kichwa. Hata baada ya jana kutambulishwa na mbwe mbwe zote, ni kama watu wameamua kumpotezea.

Haka kadada kana Tabia za ajabu ajabu, kanajifanyaga yeye ndo Mungu mtu, muongo, mnafiki, kigeugeu halafu ana kiburi, huyu kama atafanya wafanyakazi wenzie wahame mjengon basi yeye ataondolewa.

Hapo kashepewa gari tutakoma mwaka huu
Umeona mbwembwe zake huko IG? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna tutakoma safari hii lol
 
Hongera zake kwa hatua hiyo. Ila tutakoma mwaka huu. Mweeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Diva ana sauti nzuri sana na kana swagg na kipaji kipo, ila sina uhakika kama wasafi atafikisha hata miezi sita, Kufanya kazi na diva ni pasua kichwa. Hata baada ya jana kutambulishwa na mbwe mbwe zote, ni kama watu wameamua kumpotezea.

Haka kadada kana Tabia za ajabu ajabu, kanajifanyaga yeye ndo Mungu mtu, muongo, mnafiki, kigeugeu halafu ana kiburi, huyu kama atafanya wafanyakazi wenzie wahame mjengon basi yeye ataondolewa.

Hapo kashepewa gari tutakoma mwaka huu

Jana tu anavo tambulishwa wana mhoji maswali mengine yeye ana kazana kusema mahali yake billion 10
 
Leo nimepita you you tube nikaona video fupi fupi zikionesha yule Harlot (Mliopita eng medium, mtarekebisha herufi kama nimekosea na maana yeke) aliyekuwa mtangazaji wa Clouds DIVA akikaribishwa WASAFI FM nahisi kaajiliwa hapo.

Sasa najaribu kuunganisha Dots yule dada alivyokuwa anamtukana Diamond akiwa shabiki wa KIBA, leo hata miaka haijapita ni wakupeleka njaa Kwa MONDI Kutafuta ajira?

Kweli tuwe tunaweka akiba ya maneno wakuu, Alikuwa anajigamba ana mpunga wa kutosha hana shida,,hataki kuajiriwa tena, leo Njaa imekuwa kari nahisi baada ya kufukuzwa Clouds kaenda wasafi.

Kuna msemo wa kilugha unasema,

"SHIDA ITASABABISHA MPAKA UOMBE ULIYEMNYIMA"

Jaman tujifunze kuheshimu watu wenye pesa maana kama huna pesa, ni changamoto na pesa si matako kila mtu anayo.

Kazi iendeleee.
 
"SHIDA ITASABABISHA MPAKA UOMBE ULIYEMNYIMA"
Shida haina adabu.
 
"SHIDA ITASABABISHA MPAKA UOMBE ULIYEMNYIMA"
Shida haina adabu.
Mpaka nimeshangaa yule dada alivyokuwa na nyodo maneno mengi kumbe hakuna kitu, njaa ya miezi, michache tu imemtoa pangoni na kuanza kutafuta mkate wa, kila siku.

Alikuwa, nasema ana mpunga NSSF kumbe hajuwi kule walipiga pini mpaka miaka 60,

Tutafute pesa tu wakuu maana ukiwa na masikini HATA KIKAO CHA FAMILIO HUULIZWI UNAKUNYWA SODA GANI UNAONA MIRINDA NYEUSI UMELETEWA.

Ukichangia mawazo unaonekana unaanzisha fujo. shida tu.
 
Leo nimepita you you tube nikaona video fupi fupi zikionesha yule Harlot (Mliopita eng medium, mtarekebisha herufi kama nimekosea na maana yeke) aliyekuwa mtangazaji wa Clouds DIVA akikaribishwa WASAFI FM nahisi kaajiliwa hapo.


Sasa najaribu kuunganisha Dots yule dada alivyokuwa anamtukana Diamond akiwa shabiki wa KIBA, leo hata miaka haijapita ni wakupeleka njaa Kwa MONDI Kutafuta ajira??????


Kweli tuwe tunaweka akiba ya maneno wakuu, Alikuwa anajigamba ana mpunga wa kutosha hana shida,,hataki kuajiriwa tena, leo Njaa imekuwa kari nahisi baada ya kufukuzwa Clouds kaenda wasafi.


Kuna msemo wa kilugha unasema,

"SHIDA ITASABABISHA MPAKA UOMBE ULIYEMNYIMA"

Jaman tujifunze kuheshimu watu wenye pesa maana kama huna pesa, ni changamoto na pesa si matako kila mtu anayo.

Kazi iendeleee.
Kuheshimu kila mtu sio wenye pesa tu
 
Back
Top Bottom