Diva amwagwa hadharani na Heri Muziki mbele ya watangazaji wenzie, ataka kuzimia

hatari sana sheikh, alijua na huyo dogo atachukua uamuzi mgumu kama UCHEBE!?
 
Mzee baba kaaudio kidogo

wakina sholo mwamba watu wa singeli ndo vikauli vyao vya kihuni tu ndo mana mziki wao wa hovyo yanaongeaga hivyo hata kwenye intreview
 
Aje kwangu ntampa mbegu za uzazi bureee, kwa kumsaidia tu,asikose mtoto maana kwake ni saa kumi jioni sasa
 
Hawa nawo wameanza Kiki!!hamna Cha sijui hamtaki dogo anatafuta njia ya kuipa unaruhusu nyimbo yake kwa kuongelewa na watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…