Haki watu wana-diss humu khaaa
How sure ur kama me n KE?Bf wako akikuonq unqcheka hivyo usiku mtagombana
inabidi ashtakiwe hyu na hhyo mkandarasi wake fekero,yani kila kitu anachomiliki diva ni fake mpaka simu fake,nina wasi wasi hata papuchi itakua fekero mxieeeeBora usingeonyesha mana kwanza ramani sijui uliichorea wapi...lakini ukiangalia bati ghorofa na bati gadge 32 kweli kweli????? Nondo hizo nazo duh...hii nyumba ni hatari kwa usalama wa mmiliki
enginier alimdanganyaeeeeh hivi navyo vichekesho yani ghorofa linapauliwa na mabati haya ya kawaida.
Unaweza kulia khaaaHaki ya nani, Sio kwa comments hizi. [emoji2]
iwe shapealess iwe ghorofa la mabati iwe hakuna ground floor ni ya kwake.
wengine humu wanaishi stoo chumba kimoja kitanda + ndoo za maji + vyombo + magunia ya mkaa + cup board na mibegi ya kusafiria vyote hivi ndani ya chumba kimoja cha futi 10 tu
siku zote mtu mwenye mafanikio ndio anaechukiwa check it out
keep in touch
hujambo lakini??Diva mbona unakua mkali
Unataka aje akutibu FISTULA yako sugu dada?King Kong III, Heaven on Earth hivi huyu diva ana mishe gani town?
Unaweza kulia khaaa