Diva, B12, na Mchomvu wapigwa chini Clouds

hao ndo walikuwa vimbelembele sana hapo wafufm coz hawakuwa na sifa ya kazi ila kusifia na kuponda wapinzani na baadhi ya wasanii wasiokula nao deal, ili kumfurahisha Rugey sasa imekula kwao wafie mbali huko ....
 
vipi na yule form four failure!
au ameendelea kuramba miguu ya Ruge ili asifukuzwe! maana na form four failure ukifukuzwa utaenda wapi mnyakyusa wa watu!
 
B12 WA CLOUDS FM AZUNGUMZIA ISHU
YAKE YA KUSIMAMISHWA KAZI

Hamis Mandi aka B12 mkali wa pindi la XXL ni
miongoni kati ya watangazaji wa Clouds walio
subirishwa kazi ya utangazaji kutokana na madai
ya chinichini ya kuwa wamekiuka sheria na
taratibu za Clouds Media inavyotakiwa
kuendeshwa.

±

Baada ya chanzo chetu kuzinasa taarifa hizo,
kiliamua kumvutia wire B12 live bila chenga naye
akamwagika kimtindo huu,
“Mimi bado nipo Clouds media sema tu
sipo kwenye kipindi now lakini mwezi wa
pili nitakuwa ndani ya kipindi ukitaka full
details zungumza na uongozi wa Clouds
Media hope utafahamu zaidi things follow
apart” – B12.


Source:lindiyetu-Fahari ya kusini

FAHARI YA KUSINI MWA TANZANIA: B12 WA CLOUDS FM AZUNGUMZIA ISHU YAKE YA KUSIMAMISHWA KAZI
 
hawa vijana ni talent.,., hakuna radio station itasita kuwapokea,, they were born presenter.,
 
masoud kipanya,fina mango and somebody bonta part twoo hiyo inaendelea
 
Nimejuta hata kuweka hile comment yangu mwanzo kwenye huu ujinga wa clouds media group.


Haya mambo wamepanga kutafuta na kuvuta attentio za watu wala hakuna kufukuzana wala kusimamishwa.
 
Nimejuta hata kuweka hile comment yangu mwanzo kwenye huu ujinga wa clouds media group.


Haya mambo wamepanga kutafuta na kuvuta attentio za watu wala hakuna kufukuzana wala kusimamishwa.

whaaattt..!! Hahahaha...!! Thanx i was neutral in this.

Umejuaje! Umeshtukia nin ndugu.?
 
whaaattt..!! Hahahaha...!! Thanx i was neutral in this.

Umejuaje! Umeshtukia nin ndugu.?

mkuu data nimefanya ka uchunguzi tangu hili swala lianze na nimegundua kuna uwezekano mkubwa hii issue was planned and time will tell.

Hapa watu walitafuta attention ya watu na wamefanikiwa, subiri mwezi wa pili ndio utajua vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Wanazingua 2 hawana lolote hiyo ni janja 2 kutaka muwe antetion na cloudz media maana wale ndo majembe wa ruge
 
Nimejuta hata kuweka hile comment yangu mwanzo kwenye huu ujinga wa clouds media group.


Haya mambo wamepanga kutafuta na kuvuta attentio za watu wala hakuna kufukuzana wala kusimamishwa.

Kwani ni lini uliwahi kuanza kusoma topic na kuelewa halafu ndipo ukacoment? Hivi humu wewe si ni kiwavi jeshi tu? Au ulidhani Lumumba wanalipia mpaka post za jukwaa la celeb?
 
Wachangamkie fursa sasa, Mchomvu alishaanza Ana shamba lake la b*ngi sijui b*nge alionyesha kwenye page yake ya Instagram, pia Ana single zake anaweza kuingia ktk Music industry rasmi, B12 yeye ni DJ mzuri tu, dada yetu atasaidiwa ushauri na dada zetu wa JF.
 
Pole yao, ni funzo kwa vijana wengine kujali ajira, kuwa na nidhamu na kuheshimu makubaliano na waajiri wao. Ukitaka kujua upoyoyo wa wabongo, wape ajira kisha fuatilia ufanisi wao tangu siku ya kwanza na kadri muda unavyojongea utawajua. Ndugu zangu tubadilike!
 
Kwani ni lini uliwahi kuanza kusoma topic na kuelewa halafu ndipo ukacoment? Hivi humu wewe si ni kiwavi jeshi tu? Au ulidhani Lumumba wanalipia mpaka post za jukwaa la celeb?

Ulilazimishwa kupost?
 
Njoo hapa Samson Cyper wewe si unataka kujua diva,b12 na adamu wamekuwaje?
Haya kazi ni kwako!!!! kule ulipokuwa ulikuwa umekosea chumba hapa ndo zinapatikana habari za udaku kama hao...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…