Diva, B12, na Mchomvu wapigwa chini Clouds

nawashauri waende mahakaman ili wawe watangazaji wa mahakama kama zitto alivyokuwa mbunge wa mahakama
 
Duh....so sad..............huwa nasikiliza xxl kwa ajili ya B twangala......anyway....nimeshaanza mazoezi kusikiliza na redio nyingine labda nitapata mbadala.

Kama jamaa anasema tu utovu wa nidhabu bila kuainisha...yaelekea ni serious ishu.......labda ametuachia room tujiongeze.....Let me tafakari......Mmmmmmmhhhhh...B12.....Mchomvu.....Diva.......may be wameonwa "wakirukiana" maeneo ya kazi.........na Fetty naye yuko wapi ili hisia zangu zi balance ?

Namuombea B12 arudishwe aise...mshikaji yupo cool sana.....
 

Du noma sana!!!
 
Unajiita Kaka halafu unaandika hivi!!??Spellings za aina gani hizo eti hara,twangara halafu huachi nafasi mmmh hata kuandika Kiswahili unashindwa.Hebu muwe mnaandika vizuri aibu eti..

mkuu.hawa wamezoea mmu na chit chat ndio andika yao hiyo.
 
Ha ha ha,nilimsikia huyu jamaa teja muuza bangi wa Keko. Kweli dakta isaac alikuwa anababaika kutaja jina kinega kila mara,lol!
 
Hiyo ni sawa tu yaliyokuwa yanatokea kwa wenzao ndio nao wayajue kuwa akina Jide sio wehu! Kila la kheri Redio ya watu!
 

Kuna watu humu Jf ,kazi yao kukosoa lugha..,pu***fu zenu...badala ya kuchangia mada mnaleta Ujuaji kumbe hamjui chochote
 
naona hii habari nzuri kwa times fm haya times dili hilo mlichukua masoud kipanya,mkamchukua gadner sasa hao yatima wanakuja na yie tumieni fursa. kama clouds walivyokuwa wanasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…