Diva heshima na adabu vimekuondoa cloids change

Kusema ukweli sijawahi kabisa kumwelewa Pdidy, iwe thread au comment.
 
Last edited by a moderator:
Jamani hakuna aliye mkamilifu duniani.Nashangaa kwa wale wanaomponda badala ya kumwelekeza kurekebisha posts zake.

Hiyo ndo busara.

Ukisoma comment na thread zake, hakika utarudi kufuta hii comment.
 
anaandika kama MBOWE ( a very local chairman)
 
Kusema kweli mi nimemwelewa alichokuwa anamaanisha pamoja na kasoro ndogo ndogo za kiuandishi, nyie wachangiaji achezi uzembe wa kufikiria bana, agrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
mbona umeamua na kuchafua hali ya hewa kabisa, au umeandika ukiwa huwani.???
 

Andika lugha inayoeleweka!
 
Mods watusaidie kufuta huu uzii na huyu jamaa akayafanyie kazi mapungufu yake!
 
hapa amemshauri ajirekebishe asiwajali walioshabikia kuondoka kwake kwa sababu yeye bado ni star na nyota yake iko juuu anaweza kupata kazi hata tbc akafit


nimewaelewesha kwa niaba yake kasema samahani kwa ambao huwa hawaelewi akiandikacho yeye ni mtu wa china mjasiriamali anauza maua kariakoo so kiswahili anajifunza taratibu bado hajajua kutofautisha na kutumia aina saba za maneno
 

Hello tunaomba urudie coz huelewek
 

Hahaha huyu mtu wa makambako ndio awe mchina?
 
huyo ndo Pdidy...anaandika Kiswahili kibovu tokea 2007
 
Last edited by a moderator:
halafu amekaa kwa pembeni anachungulia mnavyohangaika nae!
:couch2:
 

Hata mimi sijaelewa kabisa yaani kila nikisoma sentensi najipa moyo nitaelewa ya mbele kustuka nimefika mwisho, alikuwa ananiacha taratibu, ni maneno ya kawaida lakini hayaeleweki kabisa.
 

Hii sijui ni lugha gani, but nilichoelewa ni kuwa diva kasimamishwa Clouds thanks, next time chagua kuandika kiswahili au kingereza tukuelewe, Nawasilisha.
 

wewe pia ban inakuhusu
unatasfisiri madudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…