Diva heshima na adabu vimekuondoa cloids change

Diva heshima na adabu vimekuondoa cloids change

Kama KUNA VITU VYA KUMSAIDIA NI KUMSHAURI DADAETU DIVA ALIESIMAMISHWA. CLOUDS KWA. UTOVI WA NIDHAMU

NA KAMA MMEKUWA MKIMSIKIA NAJUA ULIKUWA NA WATU NJE WANAKUFANYA. UFANYE VILE AMA.USEME YALE REDION. KUWA MAKINI MWANAMKE TABIA WENGI WANAMINI ULICJOKUWA UNAONGEA NI TANIA YALO HALISI

KINGINE JIZUIE CHUJA UNACHOONGEA KUA CLOUDS INASIKILIZWA NA WENGI PAMOJA NA WATOTO KWA MANENO YALE HATA WAZAZI WAKO LAZIMA WAFUNGE REDIO

JIREKEBISHE USIANGALIE WALIOSHABIKIA KUONDOLQ BADO MDOGO UNAWAKA KABISA KWENYE FANI WASIOKUA.MAISHA WATAFIRAHI ILA MI NAAMINI UKICHANGE HATA TBC UNAFIT

Ndo umeandika nn sasa
 
ha ha ha ha ha ha ha ha.... Kya kya kya kya kya kya...
Huyu jamaa mtoa post hii ni mara yangu ya 15 hv nasoma threads zake,lakini sijawahi kumuelewa hata siku moja! Mbaya zaidi watu wanamkosoa kila siku lakini akirudi anaandika utumbo! So kila nikianza kupitia comments zenu wadau,nacheka mpaka basi.
Ila kuna mawili, 1. Anatumia simu ya touch ie Huawei,Tecno,Samsung Galaxy na akija kuandika simu inakuwa katika Prediction On or T9 Dictionary inakuwa On instead of Off.
2. Atakuwa ana kidogo matatizo kwenye ubongo,au haoni vizuri labda. Ni hayo..ama anatafuta kick kwa style hii. Au yote yaweza kuwa majibu.
 
ha ha ha ha ha ha ha ha.... Kya kya kya kya kya kya...
Huyu jamaa mtoa post hii ni mara yangu ya 15 hv nasoma threads zake,lakini sijawahi kumuelewa hata siku moja! Mbaya zaidi watu wanamkosoa kila siku lakini akirudi anaandika utumbo! So kila nikianza kupitia comments zenu wadau,nacheka mpaka basi.
Ila kuna mawili, 1. Anatumia simu ya touch ie Huawei,Tecno,Samsung Galaxy na akija kuandika simu inakuwa katika Prediction On or T9 Dictionary inakuwa On instead of Off.
2. Atakuwa ana kidogo matatizo kwenye ubongo,au haoni vizuri labda. Ni hayo..ama anatafuta kick kwa style hii. Au yote yaweza kuwa majibu.

aiseee
 
Back
Top Bottom