theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Ooh I didnt know that mtani....Daah. But not to that extent Mtani.
Kuna mtu humu kila ninapokanyaga naye yupo ujue.
Shida zinadhalilisha sana watu. Kwa hiyo anataka atumie mwili wake kumaliza shida za kwao?View attachment 716779 Mtangazaji wa Clouds Fm Loveness Malinzi maarufu kama Diva the bawse amefunguka kuwa hawezi akaolewa na mwanaume yoyote bila kutokew mahari ya shilingi milioni 500.
Hii sio mara ya kwanza kwa Diva kuweka kigezo cha kuolewa na mwanaume mwenye pesa mbele kwani mara nyingi amekuwa akisema kuwa hawezi akaolewa kwa mahari ndogo.
Siku ya jana kupitia ukurasa wake wa Instagram Diva amekumbushia Tena vigezo vikubwa kwa mwanaume ambaye atakubali amuoe ambavyo ni awe tajiri kiasi ya kwamba aweze kutoa mahari ya milioni 500 lakini pia awe anajua kuongea kingereza:
"Kunioa ni milioni 500….set that jokes aside am deadly serious….make sure uwe unaongea English yenyewe hasa… uwe smart uwe handsome…..uwe loaded…No broke niggas in 2018 tupendane kwa faida, you can say wheteves just heard worse, seen worse SMHFG Nothing mean to me…..harsh ain’t new to me I heard it all…..Mwenye povu hana hela ruksa na povu lako nina Omo na jiki plus toothbrush na Colgate jus there for you dummy”.
Diva ametangaza ruksa mwenye hizo sifa ajitokeze hii imekuja baada ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo fleva Heri Muziki baada ya kutoswa hewani.
Mpekuzi
Take it easy Mtani. Thanks for understand.Ooh I didnt know that mtani....
I'm so sorry on that....
It will never happen again...
Thank u mtani...Take it easy Mtani. Thanks for understand.
Be blessed Mtani. [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Mmh. [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hajar mie ama. Wacha hizo bana. [emoji17] [emoji17] [emoji17]
Wanaume ni wajanja sana, watagonga na kusepa, hakuna kufuga kunguru, baada ya kugongwa mara 3 baasi hata akipigiwa simu..oooh niko busy piga baadaeMmhhhhh wala asiwatishe wakuuu ,iyo nikauli yake.
Embu tumpe miaka mitatu mbele ,,, tutamzalisha bila hata kumuoa....
Sio mkopi hata bule sichukuiHuyu hata kwa mkopo wa Masharti nafuu sibebi...
set jokes aside maana yake weka utani pemben yan hatanii yupo seriousMbona kasema set that joke aside....which means hiyo mahari ya 500m ametania tu ila kwenye ung'eng'e, uhandsome, na mshiko kamaanisha.