Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

Shida zinadhalilisha sana watu. Kwa hiyo anataka atumie mwili wake kumaliza shida za kwao?
 
Hajakosea...

Anamanisha kwamba ukitaka show time anakupa unapiga unasepa...

Ila ukitaka kumuweka ndani ndiyo hiyo million500...

Cc: mahondaw
 
Anataka akamsaidie baba yake labda huko alipo.
 
Mmhhhhh wala asiwatishe wakuuu ,iyo nikauli yake.

Embu tumpe miaka mitatu mbele ,,, tutamzalisha bila hata kumuoa....
Wanaume ni wajanja sana, watagonga na kusepa, hakuna kufuga kunguru, baada ya kugongwa mara 3 baasi hata akipigiwa simu..oooh niko busy piga baadae
 
Diva kusema ukweli nakupenda sana. Ila umeharibu. Yaan 500 mil wakati too much used ungekuwa bikra hapo afadhali
 
Si analiwa jicho ndomana, hadi video yake nilishaiona akiliwa jicho live na li jamaa
 
2018 Kasema mahari M500

2022 atasema mahari M300

2025 atasema mahari M 100

2028 atasema mahari M10

2030 Ata andika uzi humu "natafuta mume " bila kuweka vigezo
 
Mbona kasema set that joke aside....which means hiyo mahari ya 500m ametania tu ila kwenye ung'eng'e, uhandsome, na mshiko kamaanisha.
set jokes aside maana yake weka utani pemben yan hatanii yupo serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…