Ni Sanchez pekee ndo kasajiliwa kwa hela nyingi huku umri umeenda, sasa anaigharimu timu.Maisha yanamchanganya, Kashatumika sana huyo kikongwe nani aje atoe hiyo millioni 500 kirahisi rahisi, Hatudanganyiki.
Kama Nissan nyeupe haijapita kwako una bahati.Huyu sio ajabu aliwapa kazi ya makadirio kina Oroso wa kamati ya makinikia kodi sijui trilioni ngapi ila hata kishika uchumba cha milioni moja hatujapewa
Na wakati mwingine wananenepa wanaulizwa nn wanasema wanatumia dawa.Hawa ndio wale umri ukishasogea wanaanza kuhama vyama vya siasa mara na nataka viti maalum awajui hivyo vitu vinahitaj status inayoeleweka
Nadhani hili ni swali la msingi sana aulizwe halafu aulizwe na ya nyuma ilitolewa kwa bei gani!?Bikra yake alitolewa kwa sh ngap?