Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

Maisha yanamchanganya, Kashatumika sana huyo kikongwe nani aje atoe hiyo millioni 500 kirahisi rahisi, Hatudanganyiki.
Ni Sanchez pekee ndo kasajiliwa kwa hela nyingi huku umri umeenda, sasa anaigharimu timu.
 
Huyu sio ajabu aliwapa kazi ya makadirio kina Oroso wa kamati ya makinikia kodi sijui trilioni ngapi ila hata kishika uchumba cha milioni moja hatujapewa
Kama Nissan nyeupe haijapita kwako una bahati.
 
Hizo sifa zote alzotaja wapo watu wanazo ila tuu hawawezi kumuoa am pretty sure
 
Everybody lives in his culture.
That is her precious culture
May be she wins
May be she go to hell
 
KINA TV ndani au haendi likizo ya mwezi kuwa utapiga daily. poromosha picha zaidi tumuone vizuri
 
Hawa ndio wale umri ukishasogea wanaanza kuhama vyama vya siasa mara na nataka viti maalum awajui hivyo vitu vinahitaj status inayoeleweka
Na wakati mwingine wananenepa wanaulizwa nn wanasema wanatumia dawa.
 
Ana nini cha ajabu, au yeye haendi nyaaa? Au kunatoa perfume sehemu husika. Anatafuta kiki tu.
Wakati ukifika atatangaza hata bure ataolewa.
 
wanawake bwana. saa nyingine mnalalamika kukosa ndoa kumbe ni kwa sababu ya vijitabia mshenzi.
 
hapo kyuma yenyewe imepiga miles za kutosha. mpumbavu huyo mwanamke
 
Huyu du angekuwa mzuri angesumbua sana,kweli upele umuota asiye na kucha
 
ameshajua ni ngumu kuolewa Sasa anatafuta mlango wa kutokea.
 
Aseme akienda uwani anatoa vitu gani?? dhahabu???........kigezo cha pesa kwa mwanaume wa ndoa inabidi nawe uwe na pesa.
 
Back
Top Bottom