Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

View attachment 716779 Mtangazaji wa Clouds Fm Loveness Malinzi maarufu kama Diva the bawse amefunguka kuwa hawezi akaolewa na mwanaume yoyote bila kutokew mahari ya shilingi milioni 500.

Hii sio mara ya kwanza kwa Diva kuweka kigezo cha kuolewa na mwanaume mwenye pesa mbele kwani mara nyingi amekuwa akisema kuwa hawezi akaolewa kwa mahari ndogo.

Siku ya jana kupitia ukurasa wake wa Instagram Diva amekumbushia Tena vigezo vikubwa kwa mwanaume ambaye atakubali amuoe ambavyo ni awe tajiri kiasi ya kwamba aweze kutoa mahari ya milioni 500 lakini pia awe anajua kuongea kingereza:

"Kunioa ni milioni 500….set that jokes aside am deadly serious….make sure uwe unaongea English yenyewe hasa… uwe smart uwe handsome…..uwe loaded…No broke niggas in 2018 tupendane kwa faida, you can say wheteves just heard worse, seen worse SMHFG Nothing mean to me…..harsh ain’t new to me I heard it all…..Mwenye povu hana hela ruksa na povu lako nina Omo na jiki plus toothbrush na Colgate jus there for you dummy”.

Diva ametangaza ruksa mwenye hizo sifa ajitokeze hii imekuja baada ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo fleva Heri Muziki baada ya kutoswa hewani.


Mpekuzi
Huyu thamani yke ni buku tu,kila kukicha anakuja na kiki mpya ila zinakua kiki mfu
 
DIVA ENZI HIZO BLACK,HAJAANZA KUJICHUBUA.
DIVA ORIGINAL1.jpg

DIVA ORIGINAL.jpg
 
Ule mjengo kanisa wake hajamaliza?Itakuwa hiyo ml 500 ni ya kumalizia mjengo.
 
Itakua ina TV ndani ndio maana anataka mahari yote hiyo
Anajifariji huyo... Kwanza katika wanawake wenye sifa za kuolewa huyo hana hata moja....hata wangesema bure siwezi kuoa huo uchafu wa kujiproud wakat hata k.... Hajui kuosha
 
Ukiona na kuyasikia yote haya kwa mtu yoyote ujue ana stress kibao.
Siku zote masikini haishi kuchora na kuota hela nyingi ili kujifariji tu mbona anayopitia ni mazito na mengi.
Sio tu mil 500 ambazo Diva mweyewe anajua haziwezi kupatikana mpaka siku anakufa kibudu, ila hata mtu nwenye akili timamu hawezi kuwekeza muda wake kumuoa huyu raia kama mke, atakachopata zaid ni wale wanaotaka kukidhi haja zao za kimwili fasta halafu waondoke kuwafata wake zao na familia zao huko kama walivyofanya kina GK na vile vi green warriors ....mbona Serengeti ina hadhi kubwa ya kitaifa.
Hayupo mwanaume duniani atakayethubutu kuoa tatizo na huwa wanaume hawataki hizi shida, only.....will be considered na sio mbwembwe za kiinglishi.
 
View attachment 716779 Mtangazaji wa Clouds Fm Loveness Malinzi maarufu kama Diva the bawse amefunguka kuwa hawezi akaolewa na mwanaume yoyote bila kutokew mahari ya shilingi milioni 500.

Hii sio mara ya kwanza kwa Diva kuweka kigezo cha kuolewa na mwanaume mwenye pesa mbele kwani mara nyingi amekuwa akisema kuwa hawezi akaolewa kwa mahari ndogo.

Siku ya jana kupitia ukurasa wake wa Instagram Diva amekumbushia Tena vigezo vikubwa kwa mwanaume ambaye atakubali amuoe ambavyo ni awe tajiri kiasi ya kwamba aweze kutoa mahari ya milioni 500 lakini pia awe anajua kuongea kingereza:

"Kunioa ni milioni 500….set that jokes aside am deadly serious….make sure uwe unaongea English yenyewe hasa… uwe smart uwe handsome…..uwe loaded…No broke niggas in 2018 tupendane kwa faida, you can say wheteves just heard worse, seen worse SMHFG Nothing mean to me…..harsh ain’t new to me I heard it all…..Mwenye povu hana hela ruksa na povu lako nina Omo na jiki plus toothbrush na Colgate jus there for you dummy”.

Diva ametangaza ruksa mwenye hizo sifa ajitokeze hii imekuja baada ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo fleva Heri Muziki baada ya kutoswa hewani.


Mpekuzi
Hata akienda kujiuza Ohio street kwa miaka 10 hiyo fedha hapati. Sura kama lorry la FIAT 682 N 3,!!
 
Kusema kweli sijawah kuona mwanamke mbovu kishepu na kisura kama diva..yani hata avue nguo zote mbele yangu lazima nipige kwa kuvuta picha ya mia khalfa
 
Mbona kasema set that joke aside....which means hiyo mahari ya 500m ametania tu ila kwenye ung'eng'e, uhandsome, na mshiko kamaanisha.

Huyu dada hana tofauti na chidi benz kiakili, standard zenyewe za uhandsome alizoziset sasa...zitto, crazy GK et al... [emoji23][emoji23][emoji23]
 
halafu sijui kwa nini mademu matinganya kama haya hayanipi mizuka kabisa
 
Sijaona cha kumfanya mtu kulipia mil 500 hapo. Au anataka hela ili isaidie kuendesha kesi ya baba yake
 
Back
Top Bottom