Diva na Niffer waandika ujumbe wa kuomba radhi baada ya kukamatwa kwa kuchangisha michango maafa ya Kariakoo

Jamal malinzi?
kuna askari alimsweka lupango mtoto wa chawene babake akasema apelekwe mahakamani ni mtu mzima alivyomfikisha sikuhiyohiyo hukumu ikasomwa akaachiwa, baada ya muda chawene akawa waziri wa mambo ya ndani askari alitamani kuomba uhamisho wa kwenda mbambabay

mwingine alimfyatulia risasi malima wakati kesi inaendelea akateuliwa kuwa RC kesi ikafa. ukiwa mjini njoo taratibu.
 
Mambo kama haya polisi wetu wa Burundi ndiyo wanayaweza sasa! Kuandiksha watu maelezo hata kwenye mambo ya kipuuzi.
 
Kwanza kabisa Mimi Kama mtanzania mmojawapo ninayeombwa msamaha .
Nahitaji kujua kwanini wametumia herufi kubwa ,ni Kama wananilazimisha nikubali kuwasamehe .
Hivyo nataka waandike kwa herufi ndogo aidha nataka pia Diva aniambie ukweli ameishia darasa la ngapi maana amekuwa ananidanganya Sana ila kupitia mwandiko wake ,napata mashaka na elimu yake .

Sanjari na hayo ,natamani wakitimiza masharti yangu tajwa ,waachiwe huru ila Jeniffer anitafute Kuna mambo nimshauri .

Wako ,raia mwema muombwa msamha.
 
Fred Vunjabei ana Taarifa kuwa Demu wake Diva yuko Nyavuni sasa?
 
Hizi mbilinge zenu za kujuana na kutukuza majina ya “washkaji zenu wa enzi ndio yametuzalia Boys 2Men, tuko kwenye blues mpaka leo!
we sema kuna wazee wakisikia njaa wanaenda kunywa chai ikulu,

namkumbuka maj general marwa aliwahi kwenda ikulu wakati wa mwinyi kufika akamwambia amekuja kuomba kazi ya kufyeka nyasi ikulu amechoka kukaa bila kazi, mwinyi akamteua kuwa balozi nigeria.

nyerere aliwahi kwenda zambia rais akastukia yuko ofisini kwake akamwambia nimekuja kumchukua rafiki yangu kaunda, kwa kitete akaagiza apelekwe gerezani kumwona kaunda akamkuta amedhoofu sana kwani aligoma kula. akamwamuru ale na apewe maji ya kunywa alivyoshiba akamwambia twende, wakaondoka nae hadi ikulu kufika akamwambia rais naondoka nae, ndio kaunda aka opt kwenda kwa mwanae canada. mjini kuna wazee wana nguvu. usiombe. ukiona tumbili mjini anamwenyewe.
 
Wapelekwe mahakamani hilo ni kosa la uhujumu uchumi..
Kama kuandika barua manguruwe na kina JATU nao wapewe ruhusa ya kuandika barua nakuachiwa.
wapelekeni, utawapeleka saa nne saa nne na nusu wameachiwa na unaamuliwa uwalipe fidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…