kuna askari alimsweka lupango mtoto wa chawene babake akasema apelekwe mahakamani ni mtu mzima alivyomfikisha sikuhiyohiyo hukumu ikasomwa akaachiwa, baada ya muda chawene akawa waziri wa mambo ya ndani askari alitamani kuomba uhamisho wa kwenda mbambabayJamal malinzi?
wameweka msisitizo 😀 😀 😀Waambiwe waandike mwandiko wa maandishi madogo.
Hizo capital letter ni kama wanatufokea.
Msamaha ukataliwe.
Diva kawafanyaje jamani mbona mnamshambulia hivyo?Sema Dah mwandiko wa diva🤣ni treni ya TRC ya zamani Ile inayopita mwananchi
Hizi mbilinge zenu za kujuana na kutukuza majina ya “washkaji zenu wa enzi ndio yametuzalia Boys 2Men, tuko kwenye blues mpaka leo!mmoja ni mjukuu wa malinzi na mwingine mjukuu wa bilikwija, yaani wote wajukuu wa wazee wa mjini, majaliwa atumie hekima
Mambo kama haya polisi wetu wa Burundi ndiyo wanayaweza sasa! Kuandiksha watu maelezo hata kwenye mambo ya kipuuzi.Mtangazaji wa Wasafi Fm, Diva Malinzi na Mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer wameandika barua za kuomba radhi (Kusamehewa) baada ya kupatikana na tuhuma za kuchangisha michango kwa ajili ya Wahanga wa janga la Kariakoo bila kufuata utaratibu.
Pia, Soma:
• Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
• Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
• Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Baada ya kutenda makosa hayo Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) walikamatwa na jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano na wameendelea kubaki mahabusu wakisubiria kupatiwa dhamana.
Hivyo kutokana na kutambua makosa yao wote wawili kwa pamoja, wameandika jumbe za kuomba radhi na kuomba kusamehewa kwasababu walifanya hayo kwa kutokufahamu utaratibu, huku wakiahidi kutorudia tena na Kuwa Mabalozi wazuri kwenye Jamii.
Vp mwenye jengo kadakwa nayeTanpol wanaupiga mwingi..!
Niko buzzy sana shoo, hata kufuatilia udakuu nshaacha.Umesikia wanaachiliwa lini uko?
Mmiliki wa jengo,mafundi,watoa vibali vp wamedakwa nao au badoMambo kama haya polisi wetu wa Burundi ndiyo wanayaweza sasa! Kuandiksha watu maelezo hata kwenye mambo ya kipuuzi.
Yule wa kwanza eti?Bata mtoto kapita
Ahahah mpika nyama roboWallaih angalau Niffer you can tell yuko na kitu jamani ile hati ya Diva 🥶 ni baridiiii
Fred Vunjabei ana Taarifa kuwa Demu wake Diva yuko Nyavuni sasa?Mtangazaji wa Wasafi Fm, Diva Malinzi na Mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer wameandika barua za kuomba radhi (Kusamehewa) baada ya kupatikana na tuhuma za kuchangisha michango kwa ajili ya Wahanga wa janga la Kariakoo bila kufuata utaratibu.
Pia, Soma:
• Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
• Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
• Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Baada ya kutenda makosa hayo Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) walikamatwa na jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano na wameendelea kubaki mahabusu wakisubiria kupatiwa dhamana.
Hivyo kutokana na kutambua makosa yao wote wawili kwa pamoja, wameandika jumbe za kuomba radhi na kuomba kusamehewa kwasababu walifanya hayo kwa kutokufahamu utaratibu, huku wakiahidi kutorudia tena na Kuwa Mabalozi wazuri kwenye Jamii.
Usisahau kudownload hiyo barua ya Diva uitunze inaweza kukusaidia siku akikuletea nyodo ni kumtumia WhatsApp tuDiva amejua kunichosha, huu uandishi hata la 4 C hawezi, at least sasa naweza amini kweli Niffer alipita class. Uwiiiih
Afu wote wahayammoja ni mjukuu wa malinzi na mwingine mjukuu wa bilikwija, yaani wote wajukuu wa wazee wa mjini, majaliwa atumie hekima
Halafu wote wahayaFred Vunjabei ana Taarifa kuwa Demu wake Diva yuko Nyavuni sasa?
Halafu woteFred Vunjabei ana Taarifa kuwa Demu wake Diva yuko Nyavuni sasa?
Halafu wote atakua kawadhamini maana wote ni wakwakeFred Vunjabei ana Taarifa kuwa Demu wake Diva yuko Nyavuni sasa?
we sema kuna wazee wakisikia njaa wanaenda kunywa chai ikulu,Hizi mbilinge zenu za kujuana na kutukuza majina ya “washkaji zenu wa enzi ndio yametuzalia Boys 2Men, tuko kwenye blues mpaka leo!
wapelekeni, utawapeleka saa nne saa nne na nusu wameachiwa na unaamuliwa uwalipe fidiaWapelekwe mahakamani hilo ni kosa la uhujumu uchumi..
Kama kuandika barua manguruwe na kina JATU nao wapewe ruhusa ya kuandika barua nakuachiwa.