Hakika, inapaswa kuwa hivyo lakiniBasi sawa, hii ipitishwe na iwe sheria rasmi kwamba mtu mwingine yeyote akitenda kosa pasipo kujua ama kwa bahati mbaya, anaweza akaandika barua ya kuomba radhi ili asanehewe.
Sio kwamba nina wachukia wala sipendi wasamehewe.... Lahhhh ninatamani kuona haki na usawa ikitendeka kwa WaTanzania wote, na sio kwa ukubwa wa majina ama umaarufu
Na bado mnashangaa kwanini sera za nchi hazisimamiwi wala kuheshimiwa wakati mnampa majukumu makubwa Kama hayo mtu alieisha amua kushughulika na maua!we sema kuna wazee wakisikia njaa wanaenda kunywa chai ikulu,
namkumbuka maj general marwa aliwahi kwenda ikulu wakati wa mwinyi kufika akamwambia amekuja kuomba kazi ya kufyeka nyasi ikulu amechoka kukaa bila kazi, mwinyi akamteua kuwa balozi nigeria.
SIASA za mtu mweusi.nyerere aliwahi kwenda zambia rais akastukia yuko ofisini kwake akamwambia nimekuja kumchukua rafiki yangu kaunda, kwa kitete akaagiza apelekwe gerezani kumwona kaunda akamkuta amedhoofu sana kwani aligoma kula. akamwamuru ale na apewe maji ya kunywa alivyoshiba akamwambia twende, wakaondoka nae hadi ikulu kufika akamwambia rais naondoka nae, ndio kaunda aka opt kwenda kwa mwanae canada. mjini kuna wazee wana nguvu. usiombe. ukiona tumbili mjini anamwenyewe.
Kwa sababu tu yanafanyika na kuachwa yapite haina maana kwamba ni halali kufanyika!kuna askari alimsweka lupango mtoto wa chawene babake akasema apelekwe mahakamani ni mtu mzima alivyomfikisha sikuhiyohiyo hukumu ikasomwa akaachiwa, baada ya muda chawene akawa waziri wa mambo ya ndani askari alitamani kuomba uhamisho wa kwenda mbambabay
mwingine alimfyatulia risasi malima wakati kesi inaendelea akateuliwa kuwa RC kesi ikafa. ukiwa mjini njoo taratibu.
Mashauzi tu, huwa kichwani hakuna kituHawajui kipi ni kipi ,hatari sana,mtu hajui kati ya jina na sahihi kipi kitangulie ,ila huyu naye utakuta anajilinganisha na mwalimu na kujiona anamzidi mwalimu,poor girls
Unajichanganya, unasema warembo halafu unasema wanajifanya waremboo.Kumbe kuandika hawajui na urembo wote uho wanaojifanya waremboo
kuna taarifa walikuwa wanatindua kuongeza underground, mhandisi alikataa kuendelea na kazi akapigwa kalamu, machawa wakabaki wanatinduavp mmiliki wa jengo,wakandarasi,watoa vibali washakamatwa ???
βova
sheria gani inakataza kujibizana na waziri mkuu?Wafungwe kabisa Kwa kujibizana na pm; hawana adabu!
π basi hao machaawa wakamatweeeekuna taarifa walikuwa wanatindua kuongeza underground, mhandisi alikataa kuendelea na kazi akapigwa kalamu, machawa wakabaki wanatindua
HasibuWapewe adhabu ya kufagia vyoo vya stend ya Magufuli kwa wiki 2
Alooo π€£π€£π€£ hatimaye kapata hata wa kumtia moyoMuandiko wa Diva umekaa kinyamwezi sana π₯
ππππ"I HAVE A STRONG ARMY WITH ME"
Na anavojifanya mjuaji wa kila kitu sasa.Mwandiko wa Diva unasound kama ngumbalo flani hivi
USSR
Hahaha, mkuu unavyoona hapo kuna mwenye ubavu wa kupambana na waziri mkuu? We wadanganye tu. Watu mna roho mbaya kweli.Hio ni mbinu tu ya kumuondolea aibu Majaliwa kama ngoma ingeenda mahakamani.
Subiri kuona wanaachiwa bila mashariti.