Diva na Niffer waandika ujumbe wa kuomba radhi baada ya kukamatwa kwa kuchangisha michango maafa ya Kariakoo

Diva na Niffer waandika ujumbe wa kuomba radhi baada ya kukamatwa kwa kuchangisha michango maafa ya Kariakoo

Basi sawa, hii ipitishwe na iwe sheria rasmi kwamba mtu mwingine yeyote akitenda kosa pasipo kujua ama kwa bahati mbaya, anaweza akaandika barua ya kuomba radhi ili asanehewe.
Sio kwamba nina wachukia wala sipendi wasamehewe.... Lahhhh ninatamani kuona haki na usawa ikitendeka kwa WaTanzania wote, na sio kwa ukubwa wa majina ama umaarufu
Hakika, inapaswa kuwa hivyo lakini
"All animals are equal, but some animals are more equal than others"
 
we sema kuna wazee wakisikia njaa wanaenda kunywa chai ikulu,

namkumbuka maj general marwa aliwahi kwenda ikulu wakati wa mwinyi kufika akamwambia amekuja kuomba kazi ya kufyeka nyasi ikulu amechoka kukaa bila kazi, mwinyi akamteua kuwa balozi nigeria.
Na bado mnashangaa kwanini sera za nchi hazisimamiwi wala kuheshimiwa wakati mnampa majukumu makubwa Kama hayo mtu alieisha amua kushughulika na maua!

Kwahiyo ubalozi wa nchi ni zawadi kwa wana sio?
nyerere aliwahi kwenda zambia rais akastukia yuko ofisini kwake akamwambia nimekuja kumchukua rafiki yangu kaunda, kwa kitete akaagiza apelekwe gerezani kumwona kaunda akamkuta amedhoofu sana kwani aligoma kula. akamwamuru ale na apewe maji ya kunywa alivyoshiba akamwambia twende, wakaondoka nae hadi ikulu kufika akamwambia rais naondoka nae, ndio kaunda aka opt kwenda kwa mwanae canada. mjini kuna wazee wana nguvu. usiombe. ukiona tumbili mjini anamwenyewe.
SIASA za mtu mweusi.

Watu mmegeuza nchi Kama gagulo la bibi zenu kwamba mnapeana mapande tu kisa kujuana matokeo yake tunaelekea kwenye banana republic!
 
kuna askari alimsweka lupango mtoto wa chawene babake akasema apelekwe mahakamani ni mtu mzima alivyomfikisha sikuhiyohiyo hukumu ikasomwa akaachiwa, baada ya muda chawene akawa waziri wa mambo ya ndani askari alitamani kuomba uhamisho wa kwenda mbambabay

mwingine alimfyatulia risasi malima wakati kesi inaendelea akateuliwa kuwa RC kesi ikafa. ukiwa mjini njoo taratibu.
Kwa sababu tu yanafanyika na kuachwa yapite haina maana kwamba ni halali kufanyika!
 
Nimekumbuka ile Comment ya walimu "Improve your hand writing" Diva jina lake na Sauti yake ndio anatuandikia hivi?😔😔😔 Au ndio alikua Science.
 
Hio ni mbinu tu ya kumuondolea aibu Majaliwa kama ngoma ingeenda mahakamani.

Subiri kuona wanaachiwa bila mashariti.
 
Yule aliyesema ana jeshi kubwa kabaki mwenyewe? Haya wasamehewe tu waendelee na mambo yao.
 
Back
Top Bottom