Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Mwee sa yeye afanye nini tenaAm serious mkuu....We imagine kama ataamua ku outsource hizo ishu mbili.....Akampa Jay dee kazi ya kumtungia wimbo, kisha akampa v money tenda ya kuuimba...Unadhani patatosha hapo...Diva ni noma yani