Diva: Siwezi kudate na mwanaume yeyote wa Bongo Movie kwa sababu hawajui kiingereza

Diva: Siwezi kudate na mwanaume yeyote wa Bongo Movie kwa sababu hawajui kiingereza

Anapenda mwanaume mwenye akili na anayejua kiingereza.

Kujua lugha yoyote ile hapa duniani si dalili za kuwa na akili nyingi.

Lugha ni lugha tu na akili ni akili tu. Hivi ni vitu viwili tofauti.

Basi akaolewe na waingereza, teh teh teh
 
Ogopa sana wabongo wakikuamulia haya makabur ya diva yaliyofunguliwa hadi namwonea huruma

a e i o u
 
Back
Top Bottom