Sukari Yenu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 1,698
- 1,257
Hivi yule jamaa mwenye kigugumizi anajua kiingereza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kweli vyuma vimekaza.... mpaka mtaji unatafutwa kwenye mahari...!!!Wasalaam wana jamvi.
Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.
Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.
Wasalaam
Watu wakorofi.[emoji3] [emoji3]Ninini nikisema wa waan nanyi mamama machichizi semen two twoo!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Ninini nikisema wa waan nanyi mamama machichizi semen two twoo!!
that's is true 'language doesn't means the level of IQ of someone'......waweza kuta mtu anagonga ngeli za mambele lkn ukikaa naye kwenye midahalo hana la maana kichwaniAnapenda mwanaume mwenye akili na anayejua kiingereza.
Kujua lugha yoyote ile hapa duniani si dalili za kuwa na akili nyingi.
Lugha ni lugha tu na akili ni akili tu. Hivi ni vitu viwili tofauti.
DAH KACHEMKA KINGEREZA NDO AKILIWasalaam wana jamvi.
Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.
Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.
Wasalaam
Wasalaam wana jamvi.
Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.
Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.
Wasalaam
[emoji74] [emoji74]Angekuwa ' Mjanja ' na Mtoto wa Kishua hao ' waliombaioloji ' wangesema kuwa ana ' Mbunye ' Dampo la Pugu? Naomba niishie hapa tafadhali.
Duuu vtu vngne vinatia hasra,yy n nan hasa,au ndo kutafta kiki tu??? Acha nkae kimyaWasalaam wana jamvi.
Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.
Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.
Wasalaam