Diva: Siwezi kudate na mwanaume yeyote wa Bongo Movie kwa sababu hawajui kiingereza

Diva: Siwezi kudate na mwanaume yeyote wa Bongo Movie kwa sababu hawajui kiingereza

Kingereza ni lugha kama lugha zingine... YAPO MAZUZU kibao yanaongea kingereza... Lakini HAWANA LOLOTE
 
Wasalaam wana jamvi.

Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.

Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.

Wasalaam
Duh kweli vyuma vimekaza.... mpaka mtaji unatafutwa kwenye mahari...!!!
 
Diva hayupo sawa.. Apelekwe hospital mapemaa
 
ina maana dushe langu na papuchi lake vikikutana huko site kutakuwa na lugha gongana..??...
tatizo mtuno wa wallet ndio unamwewesha huyo kipapa...
 
hahah..... anafikiri mwanaume anayejua kuongea kiigilishi ndio atamsaidia kumtoa baba ake jela au hahahahah
 
Taa nyekundu zikishawaka, ndo ufa maji unapoanzia.
 
Ndege wafananao ndiyo huruka pamoja...

Kama na yeye ana akili nyingi atampata wa kufanana nae...

Ila kama anaakili fupi, mpaka aje kumpata huyo mwenye akili nyingi, viungo vyake vya uzazi vishaumia sana...

cc: mahondaw
 
Anapenda mwanaume mwenye akili na anayejua kiingereza.

Kujua lugha yoyote ile hapa duniani si dalili za kuwa na akili nyingi.

Lugha ni lugha tu na akili ni akili tu. Hivi ni vitu viwili tofauti.
that's is true 'language doesn't means the level of IQ of someone'......waweza kuta mtu anagonga ngeli za mambele lkn ukikaa naye kwenye midahalo hana la maana kichwani
 
Aendelee kuchagua tu,ila tusijemuona huku katika maombi ya kutafuta mume maana hakuna mahari ya 200 m.
labda akaolewe na dk shika.
 
Aendelee kuchagua tu,ila tusijemuona huku katika maombi ya kutafuta mume maana hakuna mahari ya 200 m.
labda akaolewe na dk shika.
 
Wasalaam wana jamvi.

Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.

Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.

Wasalaam
DAH KACHEMKA KINGEREZA NDO AKILI
 
Mbona ni demu MBAYA TUU, KAJALIWA SAUTI TUU LKN UREMBO HANA ! N KM MBUZ TUU HAHAHAHAHAH SASA MBWEMBWE NA MIKOGO YOTE YA NINI ? HATA HAO WA BONGO MUVI HAWAJAMSHIBOKEA B'SE N YY CO MREMBO.CHENGA SANA HUYO MWANAMAMA
 
Wasalaam wana jamvi.

Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.

Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.

Wasalaam


mzinguaji tu, kingereza ndio kinaingia kwenye mahusiano au mtu na nafsi yake..?.. acha wapigiane pasi
 
Wasalaam wana jamvi.

Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.

Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.

Wasalaam
Duuu vtu vngne vinatia hasra,yy n nan hasa,au ndo kutafta kiki tu??? Acha nkae kimya
 
Back
Top Bottom