Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliulizwa na adam mchomvu kuhusu hiyo 200ml kadai haitaki tena anahitaji mapenz ya dhati tuNasubiria nione mwisho Wa hizo hoja zake.
1. 200 mil.
2. Kiingereza.(Akili )
Ova
HahahahaNdio nani huyo diva au no Kati ya hawa madiwan wanaojiuzuru?
Elfu 70 nyingi sana mzee buku 7 tu inatosha unajua mileage inasoma ngapi pale?Akishuka mahali hadi elf 70 mnitag maana kingereza sio shida sana
Mbwiga vipi?Ye mwenyewe mbona akili hana..... wanaume wenye akili hawaoi madunga embe kama yeye... no wonder zitto kamla kimya kimya na kumbwaga kimya kimya
mbona alikua anatoka na yule bubu
Umagharibi mwingi umewachota akili vijana wetuNeo Colonialism haijawahi kutuacha salama , ndiyo walikuwepo Pan Africanist kwani waliliona hili mapema , R.I.P Our former Leaders of Pan Africanist , mlitufundisha Waafrika kujithamini lakini mmeondoka lengo likiwa halijafikiwa.
Ndo maana anataka aijazie akili yake ndogo kwa akili ya mume atakayempatawachaa we!
ye anazo hizo akili nyingi?
Kumbe ndio huyo?![]()
Et mzuri kuliko watangazaji wote? Phewww
Kingereza chenyewe anachoongea kibovu kama cha kwangu, angekuwa ata anakingereza kama cha Vannesa mdee kidogo ningemwelewa
Ila kwenye mahari yote Hiyo atakaa
Sana mpk kuiona ndoa