Diva: Siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume asiyejua kuongea kingereza

Diva: Siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume asiyejua kuongea kingereza

Weka kapicha tumuone kwanza

Wekeni kapicha kake basi
57211d0309e99977006b087dba126c95.jpg
 
Ingekua kuna kitufe cha kudelete sehemu ya maisha,angefuta hicho kipande
ngoja watu wam-hack, kisha wamdelete lugha ya kiingereza tuu, alafu tuone atafanya nini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ningemielrwa kama angesema anataka mwanamme wa kumuoa lakini awe anajua kiingeleza lakini kwa kauli yake inaonesha ni jinsi gani alivyokua Malaysia at kwamba kila mwnaume anaejua kiingereza akimu approch yeye anamkubali
 
BBC world service upande was Radio ili wakuchukue, sio tu kiingereza hata content matters.
Allan Kasuja,Steven Sucker etc. Hawaongei hiki cha you are so sweet,I am delighted,sapraiiiizi. In terms za uchumi,siasa. Na hata vipindi vyao vilivyo social kama OUTLOOK wanazungumza kwa namna ya kipekee.
Sasa aende wapi akaongee kizungu?
 
tehe tehe tehe diva haishi vituko khaaaaa
 
Huyu mama alitakiwa aolewe na lemutuzi,maana wanaendana mambo yao
 
Hayo maringo tu... lakin siku zote ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu. Sasa huyu atakuja kumpata mmakonde.. hata kiswahili kitakuwa shida...
 
Wasalaam wana jamvi.
Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva The Bosslady amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kudate na mwanaume ambaye hajui kuongea kingereza kwa kuwa yeye katika maisha yake huongea Kiingereza zaidi kuliko Kiswahili.

Akiongea na waandishi wiki hii, Diva amedai wanaume ambao amewahi kutokana nao wanazungumza lugha hiyo ambayo amedai inamvutia sana.

"Sipendi mwanaume ambaye hajui Kiingereza, napenda kudate na mwanaume ambaye anajua Kiingereza," alisema Diva.

"Yaani imetulia na inapendeza kwa sababu siyo local local, wapo ambao waliwahi kunitokea lakini baada ya kujua hawajui kingereza nikawatosa,"

Alisema wanaume wake wengi anakutana nao kwa mara ya kwanza kupitia kipindi chake cha Ala za Roho kwa kuwa ndio sehemu ambayo atakutana na watu mbalimbali.

Mtangazaji huyo ambaye pia ni muimbaji wa muziki kwa sasa anatoka kimapenzi na muimbaji 'Heri Muziki'.
hivi diva hajui kuna wanaume wengine wana phd kabisa lakini kujieleza kwa kimombo hawajui, na waoga kuongea na wazungu hata ukiwa na semina ya muhimu wanatakiwa kwenda nje bora wasingizie chochote lakini wasiende kwasababu wakifika kule watahitaji kujieleza kwa kimombo, na watu wakiipima phd yake na kimombo anachoongea wanaona itakuwa aibu. hao ndio wamejaa kwenye ofisi kama wakurugenzi na viongozi mbalimbali.
 
Wanawake wasiovutia ndio walivyo.

Huyo atongozwi mara kwa mara sasa kwa akili zake anadhani awamtongozi kwa sababu hawajui kiingereza kumbe wanaume wanamkwepa kwa sababu havutii.
 
Back
Top Bottom