[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hatar mkuu.Kuna sauti zinatoa hamasa sana hasa wakat wa mchezo..Ila anasauti tamu Sana yule Bibi
Mkuu bichwa langu linaweza kusoma maandishi yako ya kupongeza mwenzio kuzibiwa riziki yake pale kwenye kampuni ya habari ya mawingu.
Maandishi kama hayo hapo juu.
Chuki inaonekana kwenye pongezi zako, kwenye kumuelezea muonekano wa sura yake n.k.
Chuki ya kiwango hiki unaweza kuja kuwa mchawi ukizeeka. Kwani rangi ya uso wake ilikuwa inakuzibia riziki?
Akifukuzwa kazi wewe ndiyo utapewa mshahara wake?
Huwa sipendi kuongea namna hii lakini kwa chuki zako dhidi ya huyu mdada nimeona sitaingia peponi bila kukuchana 'live'.
Potelea pote babake huyu pimbi kazinguaMkuu mbona umeonesha chuki kwa huyo mdada kiasi hiki?
Unashangilia kuanguka kwa mwenzio???
Inaweza kuwa jambo la faida kwake atapata muda wa kujiajiri, kusoma au kujaribu kutafuta fursa kwenye chombo kingine cha habari.
Inaweza kuwa kama kumpiga chura teke unamuongezea mwendokasi.
Wanawake mnapitia wakati mgumu sanaHabari za hivi punde ni kuwa mwanadada Diva ( DivaDaily ) amesimamishwa kazi Clouds Media kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni “utovu wa nidhamu”
More info to follow
Na kisado cha choroko na Dengu na ufutaHhhahaaaaha....sijapenda kbs mkuu..d.ah eti kuku wa kishingo🤣🤣🤣
Na kisado cha choroko na Dengu na ufuta
Nilikutana nae siku kumbe ni kafupiii kanaishia kwenye chembe moyo hata kifuani hafiki kama stuli ya nyongeza aseeeeHahhaa mnamuonea wivu dada wa watu!
Nilikutana nae siku kumbe ni kafupiii kanaishia kwenye chembe moyo hata kifuani hafiki kama stuli ya nyongeza aseeee
Chora 7 tu ujue mimi ni nani?mwanamke mwenzio kapata shida unafurahia
Boss joClouds media kuanzia wafanyakazi mpaka Uongozi wao wote wana akili kama za Diva tu sasa ni nani mwenye akili timamu za kumfukuza mtu kazi pale.
Wafupi maana yake ni Warefu kuelekea chini.. Haina tatizo hata kidogo Ila tu wanakasumba ya usumbufu wafupi ni wasumbufu waruwaru vururuvururu akiwepo sehemu utajua tu uwepo wake😅😅wafupi tuna shida! Mie huwa simfatilii so simjui..
Anagawaga kwa bei gani?Huyo huenda atakuwa alifumwa anapigwa miti akiwa studio kipindi kikiwa hewani. Maana yule hanaga heshima wala staha, yaani akipata nafasi tu anagawa fastaaa.
Ndivyo tulivyo binadamu. Roho mbaya tuNi wazi umefurahia Diva kufukuzwa kazi ni kama mshahara wake utapata wewe.