crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Bila kutaja sababu, kupitia ukurasa wake wa instagram diva the bawse ametangaza rasmi kuacha kazi.
Ameandika hivi:
Ameandika hivi:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyi jamaa yupo vizuri sanaa...wapi musa hussein??
yeah tangu akae mwijaku hata sielewi na nimeacha kusikiliza,Huyi jamaa yupo vizuri sanaa...
Alafu hasikiki kwa kina geaHuyi jamaa yupo vizuri sanaa...
Labda kaondokaa....Alafu hasikiki kwa kina gea
Samahani, usomi upi hasa!? Ule wa fani husika yaani habari na utangazaji, au usomi tu japo wa fani nyingine kama ualimu, uhandisi na nyinginezo!?Watangazaji wasomi ndio wanahitajika zaidi wakati huu, sasa huyu na usomi wake wote na kiingereza chake akikimbia kazi si atazidisha ombwe la upungufu wa wanahabari wasomi?
Labda ajioeKakaolewe sasa maana kanakaribia menopause!
Clouds wana akil sana...kina diva.dozen na the likes washa expire... Radio inahitaj kizaz kipya ndomana wanawafagia wote wa zaman kuendana na ushindanwapi musa hussein??
Dozen ka expire vp mkuu mbona badooo clouds ilikua inamhitaji sanaa.Clouds wana akil sana...kina diva.dozen na the likes washa expire... Radio inahitaj kizaz kipya ndomana wanawafagia wote wa zaman kuendana na ushindan
Watahama weng tu..utaskia