Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini huyo dadaa kulingana na post ameacha mwenyewe kazi. Je, hiyo ndiyo kufagiwa tena?Clouds wana akil sana...kina diva.dozen na the likes washa expire... Radio inahitaj kizaz kipya ndomana wanawafagia wote wa zaman kuendana na ushindan
Watahama weng tu..utaskia
Na mm nimejiuliza hilo, maana kuna time hum hum ni kama niliskia amekua fired pale mawingu
Sasa ww ndugu muhandisi sijui na electrical au mechanical engineering yako ukawatangazie Ala za roho wadau si utaboa mzee!! AhahahaSamahani, usomi upi hasa!? Ule wa fani husika yaani habari na utangazaji, au usomi tu japo wa fani nyingine kama ualimu, uhandisi na nyinginezo!?
Na hii ni mojawapo ya mbinu tunakutana nazo sana maofisini, yaanClouds wana akil sana...kina diva.dozen na the likes washa expire... Radio inahitaj kizaz kipya ndomana wanawafagia wote wa zaman kuendana na ushindan
Watahama weng tu..utaskia
yaani unasoma ili ukawe mtangazaji?Watangazaji wasomi ndio wanahitajika zaidi wakati huu, sasa huyu na usomi wake wote na kiingereza chake akikimbia kazi si atazidisha ombwe la upungufu wa wanahabari wasomi?
Jiongeze wew,usipende kutafuniwa.....we hujawai kumuwai mtub kabla yeye hajatendaLakini huyo dadaa kulingana na post ameacha mwenyewe kazi. Je, hiyo ndiyo kufagiwa tena?
Naona kimtindo unajaribu kuniambia Diva alisomea kuendesha ala za roho huko chuoni alikokuwa. Ila usije kusahau sera kubwa ya Clouds ni kipaji kwanza na sio CV yako inatisha kiasi gani. Ndio maana nimemuuliza mdau anazungumzia usomi gani hasa. Pia kumbuka ugumu wa ajira unalazimisha watu kufanya kazi nje ya field zao kuliko kufa njaa.Sasa ww ndugu muhandisi sijui na electrical au mechanical engineering yako ukawatangazie Ala za roho wadau si utaboa mzee!! Ahahaha
Mkuu ikitokea ukapita kwenye vyoo nina assume wewe ni jinsia ya kiume, halafu ukakuta kwenye mlango wa choo kumeandikwa Wanawake, utaingia ndani ili ukawaambie kuwa siyo choo cha jinsia yako?Hainihusu
Huu sasa ni ule unaitwa u_much know.Jiongeze wew,usipende kutafuniwa.....we hujawai kumuwai mtub kabla yeye hajatenda
Mkuu ikitokea ukapita kwenye vyoo nina assume wewe ni jinsia ya kiume, halafu ukakuta kwenye mlango wa choo kumeandikwa Wanawake, utaingia ndani ili ukawaambie kuwa siyo choo cha jinsia yako?
Maana hii thread heading yake inamwongelea Diva ila umeifungua kuandika kwamba haikuhusu.
Basi wewe nikiri bila kupepesa macho kama Dr. Kabudi wakati anawasema mabeberu, kuwa wewe ni wa kipekee Mkuu Avatar.Laiti choo kingekua na sehemu ya kuchangia comment ni kweli ningefanya hivyo.
Ahaahhah.Hamna bana.Naona kimtindo unajaribu kuniambia Diva alisomea kuendesha ala za roho huko chuoni alikokuwa. Ila usije kusahau sera kubwa ya Clouds ni kipaji kwanza na sio CV yako inatisha kiasi gani. Ndio maana nimemuuliza mdau anazungumzia usomi gani hasa. Pia kumbuka ugumu wa ajira unalazimisha watu kufanya kazi nje ya field zao kuliko kufa njaa.
Basi wewe nikiri bila kupepesa macho kama Dr. Kabuti wakati anawasema mabeberu, kuwa wewe ni wa kipekee Mkuu Avatar.
Sijakupangia nimekuuliza. Tofautisha kukupangia na kuuliza, na ulipojibu nilichouliza ndiyo maana sijapinga tena ila nimekuabariana nawe.Jifunze kutopangia mtu cha kukomenti. Sawa!