Diva Thee Bawse aikacha Clouds Media

Diva Thee Bawse aikacha Clouds Media

siri ya mtungi aijuaye kata, brah brah nyingi lakini mwisho wa siku ukweli upo mioyoni mwa wahusika.
lkn waajiri wanaingiliwa wakifukuza wafanyakazi hovyo hovyo, kama ana mkopo benki na alidhaminiwa na taasisi basi deni linalipwa na taasisi.
maslahi mengine ikiwa malipo ya likizo ikiwa katika mwaka husika hajaenda na nk.

muajiri anaweza kuvuruga mazingira ili uache mwenyewe kuepuka gharama upande wake.
 
Na hii ni mojawapo ya mbinu tunakutana nazo sana maofisini, yaan
1. Wenye chao wamekuchoka na hawakutaki ndio hivyo usha expire wanataka ingizo jipya.
2. Kuku chana live wanaona sio labda kwasababu ya reputation yako na legacy uliowajengea plus mazoea na kuheshimiana kutokana na kufanya naobkwaz kwa muda mrefu.

Sasa basi wanakuondoaje waswahili?

Wanaanza kukutengenezea mazingira ya frustration nzito nzito za mara kwa mara ambazo u cant bear, na hiz wanazi channel kwenye utaratibu wa kikazi kabisaa kiasa kwamba huoni mtu personally kasimama on your way against you (mpaka uchimbe sana yan ndio utajua chanzo cha shida zote).
Basi wewe mwenyewe unaona isiwe tabu, acha nitembee zangu.
Unakuja na uamuzi wa kuacha kazi, basi watu wanashtuka kinafki nafki pale but hawakupi chance kusema nenda ufikirie kisha urudi tena tuzungumzee ....hahahahahaha.

Jua tayari.
UNAONA KAMA UME STAND FOR YOUR DECISIONS kumbe umejaa kwa 18 zao.
THEY INFLUENCED, PREDICTED AND EXPECT YOUR MOVE.
chaliiiiiii
labda private sector maana serikalini ujinga huko hakuna.......
 
Watangazaji wasomi ndio wanahitajika zaidi wakati huu, sasa huyu na usomi wake wote na kiingereza chake akikimbia kazi si atazidisha ombwe la upungufu wa wanahabari wasomi?
mmhh kasomea wapi uwanahabari yulee mmhh..maana mzee tu picha linaanza ni mwizi wa mpira weetu
 
Dozen ka expire vp mkuu mbona badooo clouds ilikua inamhitaji sanaa.
ukisema dozen kaexpire na wale wengne wale akina sudi na mwenzake idd ..kila siku wanatoa taarfa za wcb maana content za kipind zilikuwa hakuna wanalazimika kutangaza taarfa za wcb sikuhizi..ndomaana mkubwa mfella alisema uji uliopoa hauunguzi tena
 
Watangazaji wasomi ndio wanahitajika zaidi wakati huu, sasa huyu na usomi wake wote na kiingereza chake akikimbia kazi si atazidisha ombwe la upungufu wa wanahabari wasomi?
Yaan form 6 'felia' Kenton-Mwenge, na kidiploma cha chupi c.b.e,now ndo anaunga unga Tumain college hata certificate hajapata ndo msomi wa kusemwa?

Msomi labda ukimlinganisha na dr kumbuka,Steve Nyerere[emoji38][emoji2]

Umelikosea sana hili neno usomi.
 
Yaan form 6 'felia' Kenton-Mwenge, na kidiploma cha chupi c.b.e,now ndo anaunga unga Tumain college hata certificate hajapata ndo msomi wa kusemwa?

Msomi labda ukimlinganisha na dr kumbuka,Steve Nyerere[emoji38][emoji2]

Umelikosea sana hili neno usomi.

Thank you, I got what i want.
 
Yaan form 6 'felia' Kenton-Mwenge, na kidiploma cha chupi c.b.e,now ndo anaunga unga Tumain college hata certificate hajapata ndo msomi wa kusemwa?

Msomi labda ukimlinganisha na dr kumbuka,Steve Nyerere[emoji38][emoji2]

Umelikosea sana hili neno usomi.
Ni msomi kwa kiasi chake. Kufeli form 6, haiwezi kuwa sababu ya kumzuia mtu asifanikiwe kimasomo katika hatua nyingine Ndugu. Cha msingi ni kutokata tamaa pale ulipoangukia. Wapo wasomi wazuri tu waliopitia mfumo wa kuunga_unga na malengo yao yakafanikiwa.
 
Ataolewa kwa kuwa ana fedha, vijana kama Heri Muziki na wengine ambao hatuwafahamu wako naye kwa sababu ya fedha.

Hawezi kukosa wa kumuoa.
Kiufupi hakuna waoaji wa namna hiyo, hao unaowasema ni vijana wadangaji. Wanavuta maisha tu.

Yaani kijana na akili zako timamu unawezaje kwenda kuoa kibibi kilichokwenda umri, chenye nyodo balaa, kimechoka kwa kupigwa miti ovyo ovyo, kinadaiwa kutoa mimba mpaka kizazi kimechakaa?
 
Back
Top Bottom