Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Diamond hana jipya kazi kujikomba kwa wanasiasa,elimu hana na bado dogo xan, mwisho wake na yeye ni otober 25.
Nina hasira naye kwa kauli yake ya janaa jukwaani kama nin!
Ameishi Tandale leo hii anajifanya mjanja kwa lipi?
Mashabiki zake wamemkacha wengi tuu.
Au Diamond ana kisirani cha ugomvi wa Esma na Diva.
Naona Diva akijikomba sana kwa Kiba akaacha
huyu diva anatafuta dyudyu kwa lazima, manake sometimes nyeupe sometimes nyeusi, kweli hapo kati kuna wakati full kujishauwa na kiba, na visifa visivyokuwa na kucha, kiba hakummind wala nini nikashangaa mara kmya hampost post tena kiba sijui aliona nini, akaanza mara ampost diamond mara amdiss kama si punani inamuwasha ni nini? alafu si uliona alivyokuwa anajibebisha kwa petit,mara maembe ya kunyonya,mara mbona hunijibuu au unaona najipendekeza? hizi si kauli za kulilia penzi hizi??alivyoona ameshtukiwa eti he is not my type.
Diva ana nyota ya kujikomba.
Nauliza kama dai sio type yake, nani type yake?
Mwanamume ambaye anafikiri kupata heshima KWA mwanamke hadi umkaze ni mwenye Iferiority complex syndrome ...anaamini KITENGO Kama hicho Ndio cha kumpa heshima ...mwanamume anayejiheshimu ana options nyingi tu za kupata heshima Kama Elimu ..pesa ..juhudi etc ...KWA SASa diamond anapata heshima lakini kichwani bado Ana hiyo Tabia ambayo inaonekana kabla hajatoka Ndio alikuwa anaitumia hadi imemlemazaa
Mwanamume ambaye anafikiri kupata heshima KWA mwanamke hadi umkaze ni mwenye Iferiority complex syndrome ...anaamini KITENGO Kama hicho Ndio cha kumpa heshima ...mwanamume anayejiheshimu ana options nyingi tu za kupata heshima Kama Elimu ..pesa ..juhudi etc ...KWA SASa diamond anapata heshima lakini kichwani bado Ana hiyo Tabia ambayo inaonekana kabla hajatoka Ndio alikuwa anaitumia hadi imemlemazaa
Mwanamume ambaye anafikiri kupata heshima KWA mwanamke hadi umkaze ni mwenye Iferiority complex syndrome ...anaamini KITENGO Kama hicho Ndio cha kumpa heshima ...mwanamume anayejiheshimu ana options nyingi tu za kupata heshima Kama Elimu ..pesa ..juhudi etc ...KWA SASa diamond anapata heshima lakini kichwani bado Ana hiyo Tabia ambayo inaonekana kabla hajatoka Ndio alikuwa anaitumia hadi imemlemazaa
Mwanamume ambaye anafikiri kupata heshima KWA mwanamke hadi umkaze ni mwenye Iferiority complex syndrome ...anaamini KITENGO Kama hicho Ndio cha kumpa heshima ...mwanamume anayejiheshimu ana options nyingi tu za kupata heshima Kama Elimu ..pesa ..juhudi etc ...KWA SASa diamond anapata heshima lakini kichwani bado Ana hiyo Tabia ambayo inaonekana kabla hajatoka Ndio alikuwa anaitumia hadi imemlemazaa
Mwanamume ambaye anafikiri kupata heshima KWA mwanamke hadi umkaze ni mwenye Iferiority complex syndrome ...anaamini KITENGO Kama hicho Ndio cha kumpa heshima ...mwanamume anayejiheshimu ana options nyingi tu za kupata heshima Kama Elimu ..pesa ..juhudi etc ...KWA SASa diamond anapata heshima lakini kichwani bado Ana hiyo Tabia ambayo inaonekana kabla hajatoka Ndio alikuwa anaitumia hadi imemlemazaa
Mwanamume ambaye anafikiri kupata heshima KWA mwanamke hadi umkaze ni mwenye Iferiority complex syndrome ...anaamini KITENGO Kama hicho Ndio cha kumpa heshima ...mwanamume anayejiheshimu ana options nyingi tu za kupata heshima Kama Elimu ..pesa ..juhudi etc ...KWA SASa diamond anapata heshima lakini kichwani bado Ana hiyo Tabia ambayo inaonekana kabla hajatoka Ndio alikuwa anaitumia hadi imemlemazaa
GK! hapa najaribu kufumba macho alafu navuta picha ya gk eti ndio namuita mpenzi, mbona nahisi kupaliwa, huyu dada diss yake kubwa ni you are not my type, diamond sijui ni mwanaume wangapi ameambiwa hivyo, ukiwatazama hao anaowaambia not her type gk atasubiri sana kwa kila kitu.
Unaonekana huwafahamu sampuli ya wasichana sawa na Diva... issue sio kumkaza ndo kujenga heshima unless kama hufahamu tafsiri ya "you're not my type" inapotoka kwa mtu kama Diva! Umetoa mfano wa heshima inajengwa kwa vitu kama elimu, pesa, juhudi n.k... sasa kwa mtu kama Diva ana nini cha kujivunia kati ya hivyo? Yule leo hii hata akigongwa na msukuma mkokoteni hawezi kumwita "you're not my type" coz' anafahamu kitachofuata hapo ni kuulizwa "una nini cha maana...!" Kwa watu kama Diva unapomuhoji una nini cha maana moja kwa moja anafahamu humaanishi kuhusu elimu yake, utajiri wake n.k lakini anafahamu unamaanisha ana nini cha maana ndani ya pichu yake...!Mwanamume ambaye anafikiri kupata heshima KWA mwanamke hadi umkaze ni mwenye Iferiority complex syndrome ...anaamini KITENGO Kama hicho Ndio cha kumpa heshima ...mwanamume anayejiheshimu ana options nyingi tu za kupata heshima Kama Elimu ..pesa ..juhudi etc ...KWA SASa diamond anapata heshima lakini kichwani bado Ana hiyo Tabia ambayo inaonekana kabla hajatoka Ndio alikuwa anaitumia hadi imemlemazaa
Unaonekana huwafahamu sampuli ya wasichana sawa na Diva... issue sio kumkaza ndo kujenga heshima unless kama hufahamu tafsiri ya "you're not my type" inapotoka kwa mtu kama Diva! Umetoa mfano wa heshima inajengwa kwa vitu kama elimu, pesa, juhudi n.k... sasa kwa mtu kama Diva ana nini cha kujivunia kati ya hivyo? Yule leo hii hata akigongwa na msukuma mkokoteni hawezi kumwita "you're not my type" coz' anafahamu kitachofuata hapo ni kuulizwa "una nini cha maana...!" Kwa watu kama Diva unapomuhoji una nini cha maana moja kwa moja anafahamu humaanishi kuhusu elimu yake, utajiri wake n.k lakini anafahamu unamaanisha ana nini cha maana ndani ya pichu yake...!