Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Diamond hana jipya kazi kujikomba kwa wanasiasa,elimu hana na bado dogo xan, mwisho wake na yeye ni otober 25.
Nina hasira naye kwa kauli yake ya janaa jukwaani kama nin!
Ameishi Tandale leo hii anajifanya mjanja kwa lipi?
Mashabiki zake wamemkacha wengi tuu.
mimi bado nipo nae aisee, popote alipo nipo, naanzaje kumsaliti kwa nyimbo nzuri anazonipa sasa?? yani kwa diamond moyo yangu ti ti ti tiii