Diva wajibizana vibaya na Diamond Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL

Diva wajibizana vibaya na Diamond Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL

Mie nimecheza na ngoma za kikwetu akome kabisa Diva,

Nilijua hii kitu itakuja kutokea siku moja maana amezidi kumtafuta tafuta Diamond kwa page yake ataachia atukanweeeee na kurusha mambo ya kumkejeli kwa kujifanyisha kama hafanyi

Akome kabisa wivu inabidi alie tu kama ex aliyelia party ya Zari hadi na petito nae eti akalia uwiiii screenshots eti mume wangu analia na kumbe analia na huku huyu Diva nae anamla na mada wake juu

Ukome mwanamke eti umefanywaje umemtafuta akakuta live unaweweseka si ungemrukia umpe busu unalotamani akupe aaaggghhhh

Umezidi eti mtangazaji mtangazaji gani unaw.ash.wa na kufatilia maisha ya Diamond kama sio wivu umekujaa unahamu angekuwa bwanako

eti clasi clasi unaijua wewe, unamfikia Zari kwa hata 1%

eeeh wivu wa kutaka mwanaume ambaye hata hajawahi kukufikiria nenda kajichibue uoge uishi maisha yako mbadilisha kama unabadili nguo ya ndani.

umkome kabida Chibu na bado atawananiliu tu kw amaneno yenyewe hamuipati ng'oooo

Timu up.upu ndio inashabikia eti uende wapi mahakamani kwa lipi hilo? unaenda yaani kushtaki nini na tuna ma screenshot kibao

jueni kila anayemwandama Diamond vibaya sie tunanyakua na kuhifazi mambo na kusubiria so ukae mkao wa kujua hauna nyota eti unataka panda kupitia Chibu kwa lipi...kaa ushauriwe na ile timu inayomlilia kila siku kwa kufulia wanakupa bichwa la kiji.nga.
 
Bila Diamond na Zari hakuna kwenye maisha ya wengi

wanaoshangilia barua feki ya sheria mko wapi, mwenzenu king law amerusha video anasikiliza nyimbo za Diamond na ex wa Z naye yumo anatingisha kichwa ku enjoy nyimbo.

mmezidi kufatilia maisha ya watu kuwatungia story kumbe wao wanawapata nyie wananiliu
 
hivi lile domo la diamond lina kilometa ngapi?! ............ kanikera alivyoanza kushabikia ccm, tutamzomea kwenye shoo zake mpaka ajuutreee.
 
tetesi eti diva alikuwa mweusi kuna ukweli jamani?

2015-08-26 00.20.42.png
 
Huyu binti simpendi kabisa,anapendwa kusiwa kwa sifa hasizonazo,huyu aliwai kumchafua Mnyika,sababu kakataa kujibu maswali ya kipuuzi katika kipindi chake,aliwai kumkashifu WEMA sababu tu kakataa kuwa kuojiwa,Diamond si aliimba wimbo na huyu Bint anaejiita DIVA,Nazani Diamond, alijilazimisha tu katika ule wimbo,
 
hivi lile domo la diamond lina kilometa ngapi?! ............ kanikera alivyoanza kushabikia ccm, tutamzomea kwenye shoo zake mpaka ajuutreee.
Wakati unabugia vumbi kwa kuzomea mwenzako anaingiza ankara na mwisho wa siku utakuja kufahamu who's smart between you two! Narudia tena hapa kwa mara ya pili! Team Kiba mnapomzomea Diamond mnasababisha kupanda dau lake... you know why? Expected embarrassment lazima ilipiwe... is like kwenye film production! Wale wanaocheza embarrassing scenes ambazo zingine huwafanya wachukiwe hadi mtaani ingawaje ni filamu, scenes za aina ile zinakuwa na additional compensation!!
 
Mh, mbona anajibu kuwa mama yake ni mzungu na mbondei, hivyo weupe ndio rangi yake halali sio hizo picha zingine watu walizi edit sababu alisema wanaume si wasafi?
Ila dada anaigiza sana maisha sijui kwa nini haendi huko uzunguni anakokutamani aone alivyo feki.
Usishangae, jina lake anaitwa Pendo akaanza kujiita Loveness baada ya kuona Pendo is too much Ubondei ndani yake!!!!
 
Mambo yalikuwa hivi katika majibizano yao wala sina cha kumlaumu Domo apa
 

Attachments

  • 1440570289305.jpg
    1440570289305.jpg
    10 KB · Views: 348
Wakati unabugia vumbi kwa kuzomea mwenzako anaingiza ankara na mwisho wa siku utakuja kufahamu who's smart between you two! Narudia tena hapa kwa mara ya pili! Team Kiba mnapomzomea Diamond mnasababisha kupanda dau lake... you know why? Expected embarrassment lazima ilipiwe... is like kwenye film production! Wale wanaocheza embarrassing scenes ambazo zingine huwafanya wachukiwe hadi mtaani ingawaje ni filamu, scenes za aina ile zinakuwa na additional compensation!!
hapo ndo umeharibu...kwanini huhisi kila asiyempenda diamond ni team kiba....huyo atamzomea kwakuwa anaishabikia ccm si kwakuwa ni adui wa kiba mzee!jiongeze
 
huyu diva type yake si diamond huyu labda yule diamond aliyeimba kwetu mbagala ambaye alikuwa na macho kama mjusi aliyebanwa kwenye mlango na domo kubwa lenye lips mpauko....amuangalie zari na mademu waliokonyewa na diamond ajiangalie yeye ndo atoe hiyo kauli yake....
 
Aendeeeee kwani ye anamchukulia Diamond poa au? Diva anajiona ana haki ya kudhalilisha wenzie lakini ye asiguswe, halafu mi sioni alidhalilishwa wapi! !????
Kwanza atatakiwa kuleta ushahidi wa kudhalilishwa na kamwe Clouds media hawawezi kumpa ushahidi wa Sauti maana wao ndio watajitia hatiani ...!

Pili wakienda kwenye tafsiri ya hayo maneno hakuna atakaye kutwa na hatia...na yataonekana si matusi bali utani...! Hakuna case wanapoteza muda...
 
Kwanza atatakiwa kuleta ushahidi wa kudhalilishwa na kamwe Clouds media hawawezi kumpa ushahidi wa Sauti maana wao ndio watajitia hatiani ...!

Pili wakienda kwenye tafsiri ya hayo maneno hakuna atakaye kutwa na hatia...na yataonekana si matusi bali utani...! Hakuna case wanapoteza muda...

Hahahaaa naomba nichangie kwenye pesa ya kumlipa Lawyer atakaemtetea Diamond wangu! As a fan!
 
Childish at its best level!
Yani mtu ana jiita mtangazaji ana shindwa kutambua kuwa kama ana peleka case hii mahakamani au kwenye vyombo vya sheria basi hata mwajiri wake yaani Clouds watakutwa na hatia kama kweli kulikuwa na udhalilishaji maana hayo maneno yalikuwa aired..!

Kimsingi ajue anapo endelea na swala hili ana wakaanga Clouds maana swala ili lilifanyika studio.
 
Huyu diva kitambo alikuwa mweusi...hinz hizo anaishi tip top huyu...brow wang anaitwa doka..ambaye rafiki wa madee ndio alikuwa bwana wake...sasa yupo clauds anajifanya mzungu??? na akazwe tu maana hakuna jinsi
 
Back
Top Bottom