Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hayo ndiyo maswala ya msingi watanzania wengi mnayoyathamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati unabugia vumbi kwa kuzomea mwenzako anaingiza ankara na mwisho wa siku utakuja kufahamu who's smart between you two! Narudia tena hapa kwa mara ya pili! Team Kiba mnapomzomea Diamond mnasababisha kupanda dau lake... you know why? Expected embarrassment lazima ilipiwe... is like kwenye film production! Wale wanaocheza embarrassing scenes ambazo zingine huwafanya wachukiwe hadi mtaani ingawaje ni filamu, scenes za aina ile zinakuwa na additional compensation!!hivi lile domo la diamond lina kilometa ngapi?! ............ kanikera alivyoanza kushabikia ccm, tutamzomea kwenye shoo zake mpaka ajuutreee.
Usishangae, jina lake anaitwa Pendo akaanza kujiita Loveness baada ya kuona Pendo is too much Ubondei ndani yake!!!!Mh, mbona anajibu kuwa mama yake ni mzungu na mbondei, hivyo weupe ndio rangi yake halali sio hizo picha zingine watu walizi edit sababu alisema wanaume si wasafi?
Ila dada anaigiza sana maisha sijui kwa nini haendi huko uzunguni anakokutamani aone alivyo feki.
hapo ndo umeharibu...kwanini huhisi kila asiyempenda diamond ni team kiba....huyo atamzomea kwakuwa anaishabikia ccm si kwakuwa ni adui wa kiba mzee!jiongezeWakati unabugia vumbi kwa kuzomea mwenzako anaingiza ankara na mwisho wa siku utakuja kufahamu who's smart between you two! Narudia tena hapa kwa mara ya pili! Team Kiba mnapomzomea Diamond mnasababisha kupanda dau lake... you know why? Expected embarrassment lazima ilipiwe... is like kwenye film production! Wale wanaocheza embarrassing scenes ambazo zingine huwafanya wachukiwe hadi mtaani ingawaje ni filamu, scenes za aina ile zinakuwa na additional compensation!!
Kwanza atatakiwa kuleta ushahidi wa kudhalilishwa na kamwe Clouds media hawawezi kumpa ushahidi wa Sauti maana wao ndio watajitia hatiani ...!Aendeeeee kwani ye anamchukulia Diamond poa au? Diva anajiona ana haki ya kudhalilisha wenzie lakini ye asiguswe, halafu mi sioni alidhalilishwa wapi! !????
Kwanza atatakiwa kuleta ushahidi wa kudhalilishwa na kamwe Clouds media hawawezi kumpa ushahidi wa Sauti maana wao ndio watajitia hatiani ...!
Pili wakienda kwenye tafsiri ya hayo maneno hakuna atakaye kutwa na hatia...na yataonekana si matusi bali utani...! Hakuna case wanapoteza muda...
Hakuna case hapo ni utoto tuu..!Hahahaaa naomba nichangie kwenye pesa ya kumlipa Lawyer atakaemtetea Diamond wangu! As a fan!
Hakuna case hapo ni utoto tuu..!
Yani mtu ana jiita mtangazaji ana shindwa kutambua kuwa kama ana peleka case hii mahakamani au kwenye vyombo vya sheria basi hata mwajiri wake yaani Clouds watakutwa na hatia kama kweli kulikuwa na udhalilishaji maana hayo maneno yalikuwa aired..!Childish at its best level!