OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Dah ulitisha bro ..kwa iyo uko USa sasa?Nilishinda hiyo kitu mara moja tu aisee sikuamini siku natua Washington DC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ulitisha bro ..kwa iyo uko USa sasa?Nilishinda hiyo kitu mara moja tu aisee sikuamini siku natua Washington DC
Itakuwa kweny instructions mkuu.
Dah ulitisha bro ..kwa iyo uko USa sasa?
Mkuu nakuja pm unipe maujanja zaidiKujua idadi kamili ya watu wanaoomba huwa ni ngumu maana huwa wanatoa majina ya waliofanikiwa tu, mwaka wangu mimi tulipata watz 39 tu. Ila nchi nyingine kama Ghana, Ethiopia, kenya nk huwa wanachukuliwa wengi sana nazani wao watakuwa na muamko mkubwa wa kuomba hii kitu.
Anytime bro!.Mkuu nakuja pm unipe maujanja zaidi
Duh zimetoka na mwisho ndo unakaribia ..5 November!Je visa lottery inafunguliwa lini mwaka huu 2020?
Poa poa mkuu ..ngoja na sisi tujaribu bahati yetu..Yeah lakini hua nakua Tanzania mara kwa mara si unajua green card unaingia na kutoka hata mara 1000 mpaka miaka kumi ipite ndio wanaongeza au ukitaka uraia wanakupa uraia.
Nimeambiwa mwaka huu hadi uwe na passport ni kweli na mwisho tarehe 5nov?Anytime bro!.
Ndio, kuanzia mwaka huu wanataka uwe na passportNimeambiwa mwaka huu hadi uwe na passport ni kweli na mwisho tarehe 5nov?
www.dvlottery.state.govWebsite pleàse