Diversity Visa 2020 Green Card Lottery Starts Today!

Diversity Visa 2020 Green Card Lottery Starts Today!

Entries for the Diversity Visa 2020 green card lottery program in the United States starts today, registration begins at noon Oct. 3, 2018 and runs until noon Nov. 6, 2018. Tanzanians who meets requirements are eligible to apply free of charge. If you are interested, here is the link to apply at Diversity Visa Program - Entry
Hivi hii kitu huwa ni kweli au ni full utapeli
 
Hizi ni gharama kama utashinda
350$ vipimo na vaccines pale Premiere care next to best bite, utapimwa hadi ngoma.
Then visa fees 330$
Unatakiwa ufanye police clearance fingerprints Uhamiaji
Then uwe na elimu isiyo chini ya form 4 au uwe una experience ya kazi ya two years ambayo utaweza kuthibitisha.
Halafu uwe na physical address in the states ambayo ur green card wil be mailed after you have paid 165 USCIS fees.
Then you have to buy your own ticket with ur DV status you’re eligible to buy a one way ticket. Then kumbuka kuna interview mimi nimeshaona watu walishinda na wakakosa visa ya green card pale embassy mbele yangu kwa kitu kidogo. Mwisho hulazimishwi kama ni kuna wabaguzi ukishinda unakausha huendi they won’t press you .
Kiongozi, mimi nmebahatika kupata mwaka huu,, ningependa kujua nn kiliwakwamisha jamaa mpka wakashndwa kupata greencard, ili nisirudie makosa
 
Hizi ni gharama kama utashinda
350$ vipimo na vaccines pale Premiere care next to best bite, utapimwa hadi ngoma.
Then visa fees 330$
Unatakiwa ufanye police clearance fingerprints Uhamiaji
Then uwe na elimu isiyo chini ya form 4 au uwe una experience ya kazi ya two years ambayo utaweza kuthibitisha.
Halafu uwe na physical address in the states ambayo ur green card wil be mailed after you have paid 165 USCIS fees.
Then you have to buy your own ticket with ur DV status you’re eligible to buy a one way ticket. Then kumbuka kuna interview mimi nimeshaona watu walishinda na wakakosa visa ya green card pale embassy mbele yangu kwa kitu kidogo. Mwisho hulazimishwi kama ni kuna wabaguzi ukishinda unakausha huendi they won’t press you .
interview wanauliza maswali gani??
 
Wakuu dirisha lipo wasi tangu jana tarehe 3/10/2019 muda wa mwisho sijajua. Muhimu uwe na passport (pass ya kusafiria) education au two years of experience in work, using o*net.com, photo na all valid documents zinazotakiwa.

Jaribuni bahati zenu, wabongo tunakuwaga wachache sana..
 
Wakuu dirisha lipo wasi tangu jana tarehe 3/10/2019 muda wa mwisho sijajua. Muhimu uwe na passport (pass ya kusafiria) education au two years of experience in work, using o*net.com, photo na all valid documents zinazotakiwa.

Jaribuni bahati zenu, wabongo tunakuwaga wachache sana..
Wabongo wnakuwaga wachache lakin chaku shangaza wanao kosa ni wengi
 
Majibu yamekwishatoka, kwa wale mlioomba mwaka jana mnaweza kuangalia kama mmechaguliwa. Ikitokea hukuchaguliwa bado nafasi unayo unaweza kuomba tena mwezi October mwaka huu. Kila la kheri.
Habari za siku nyingi mkuu? Tunaendelea kupambana na mchakato.
Nitakuja inbox kama kawaida
 
Kiongozi, mimi nmebahatika kupata mwaka huu,, ningependa kujua nn kiliwakwamisha jamaa mpka wakashndwa kupata greencard, ili nisirudie makosa

Ndio naona sasa hii mkuu. Kikubwa ni kua na cheti cha form minimum au kama hujasoma uwe na ajira umefanya at least two years na uwe na uthibitisho wa barua ya hiyo ajira
 
Wakuu dirisha lipo wasi tangu jana tarehe 3/10/2019 muda wa mwisho sijajua. Muhimu uwe na passport (pass ya kusafiria) education au two years of experience in work, using o*net.com, photo na all valid documents zinazotakiwa.

Jaribuni bahati zenu, wabongo tunakuwaga wachache sana..

Nilishinda hiyo kitu mara moja tu aisee sikuamini siku natua Washington DC
 
Back
Top Bottom