HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Upo sahihi na ndio maana nikasema inategemea na eneo, 2016 nilipiga mayfair ya mbezi za visa kwa elfu 5, Mlimani city passport zozote hizo ndio bei zake
Kwa dar picha ni 12K soft copies ila soft na hard ni 18K pale photo point MLIMANI CITY