Nakuunga mkono. Kitendo cha Mungu kumponyesha Lissu ndani ya hizi harakati kimewabadili wengi wamuaminio Mungu kwa dhati. Huu ni mpango wa Mungu usio na makosa!Nilisema mahala humu. Vyovyote vile Magufuli hawezi mshinda Lissu kwenye uchaguzi huu na hili nalimaanisha kweli.
Haiwezekani upone risasi 16 bila kuwepo mpango mkubwa na wa kipekee wa Mungu juu yako. Nasema tena Haiwezekani.
Nguvu ya Lissu imeanzia kiroho na Ndo mana inakuwa shida sana kupambana nae. Mtu akiwa na kibali cha Mungu hakuna kiumbe wa kumsimamisha, si bunduki, si fitna wala si kebehi
Wasoma Biblia wengi tumejikuta kwenye maandiko mengi sana tunapata uhalisia wa Lissu.
Mie kwangu suala la Lissu kuwa mshindi dhidi ya Magufuli nalifananisha na suala la Mfalme Daudi na Mfalme Sauli.
Mfalme Sauli alijitahidi sana kumzuia Daudi asiwe mfalme mpaka kufikia kutaka kumuua ila Mungu alikuwa upande wa Daudi na alimuokoa na yote na akamfanya kuwa Mfalme wa Israel.
Hakuna tofauti kati ya Mfalme Sauli na Magu na Mfalme Daudi na Tundu Lissu
Jana si mlikua mnatoa kamasi humu hadi jioni jamaa kapitishwa ndo mnatoka kuropoka ....ya jana ndogo vile na mkanywea kuapishwa mtazimia kabisa nyie ma keyboard warriorsSubiri utaona. Hizo utaona utaona zimeshakuwa nyingi toka anapigwa risasi mpaka jana. Kila sehemu Lissu aachanja mbuga tu. Watu wanabaki hawaamini amechomoka vipi.
Mbona munaleta taharuki mtaani.Hakika huu ni muujiza mkuu wa Mungu
Kwa huyu Tundu Lissu kuvivuka hivi vikwazo vyote vigumu sana, kimoja baada ya kingine, hakika huu ni muujiza mkuu wa Mungu!
Huu mpambano wa Lissu VS Magufuli katika uchaguzi mkuu ujao mwaka huu, naufananisha na ule mpambano wa kwenye Biblia wa Daudi VS Goliath.
Hakika kama vile yule kijana mdogo kabisa, mchungaji wa kondoo, Daudi alivyomshinda yule mbabe wa kivita, Goliath,kwa manati peke yake, kwa uwezo wa Mungu, vivyo hivyo naamini huyu Tundu Lissu atamshinda huyu mbabe ambaye anatumia nguvu zote za vyombo vya dola hapa nchini, John Magufuli, kwa uwezo ule ule uliompa ushindi Daudi kwa nguvu za Mungu!
Tutarajie kuuona muujiza mkuu wa Mungu katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu!
Aliyeko mtandaoni ana wengine kdhaa huko vijijini wanaomsikiliza. Ni kweli wapiga kura wako kijijini lakini wako wenye ufahamu japo wengine ndo hivo.Hivi una habari kuwa ccm huko tayari ina majimbo 22?
Sasa hebu pata picha kura za urais kwenye hayo majimbo itakuwaje?
.
Chadema tukiwaambia ccm iko huku field huku nyie mko mitandaoni mnatoa mapovu
Hahaaaa siasa na masuala ya Kiroho sahau kabisa ndg. Ukitaka kujua hivyo jaribu hata umwenyekiti wa mtaa uone shughuli yake.Nilisema mahala humu. Vyovyote vile Magufuli hawezi mshinda Lissu kwenye uchaguzi huu na hili nalimaanisha kweli.
Haiwezekani upone risasi 16 bila kuwepo mpango mkubwa na wa kipekee wa Mungu juu yako. Nasema tena Haiwezekani.
Nguvu ya Lissu imeanzia kiroho na Ndo mana inakuwa shida sana kupambana nae. Mtu akiwa na kibali cha Mungu hakuna kiumbe wa kumsimamisha, si bunduki, si fitna wala si kebehi
Wasoma Biblia wengi tumejikuta kwenye maandiko mengi sana tunapata uhalisia wa Lissu.
Mie kwangu suala la Lissu kuwa mshindi dhidi ya Magufuli nalifananisha na suala la Mfalme Daudi na Mfalme Sauli.
Mfalme Sauli alijitahidi sana kumzuia Daudi asiwe mfalme mpaka kufikia kutaka kumuua ila Mungu alikuwa upande wa Daudi na alimuokoa na yote na akamfanya kuwa Mfalme wa Israel.
Hakuna tofauti kati ya Mfalme Sauli na Magu na Mfalme Daudi na Tundu Lissu
Kibaka wa mtaani huwa anafanywa nini!? Ndivyo tutakavyowafanya, subiri muone muziki kama mnadhani tunatania.Hv kwa mfano akishinda alafu tume ile ya bwana yule wasimpomtangaza mtafanya nni?
Hao tume hawajitaki?!Hv kwa mfano akishinda alafu tume ile ya bwana yule wasimpomtangaza mtafanya nni?
Uongo huo.Aliyeko mtandaoni ana wengine kdhaa huko vijijini wanaomsikiliza. Ni kweli wapiga kura wako kijijini lakini wako wenye ufahamu japo wengine ndo hivo.
Mapambanolazima watu wasibweteke.
Hata Lissu amesema mara nyingi uchaguzi huu si rahisi!
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Mkuu jimama26 em agiza chochote mie nakuja kulipaHapo kwenye ‘si jambo la kawaida hata kidogo’ umenifurahisha sana. Tundu Lissu ni nabii aliyetumwa na Mungu kutuokoa huku gizani tuliko sasa. Mungu yu pamoja nae.
Leo hali ilikuwa mbaya sana.. the pressure was just too much. Ila Mungu ni mwema sana. Na atatuvusha tu kiuwepesi kabisa. Viva Tundu Lissu.. Rais wetu kipenzi anayengoja kutangazwa tu.
Watanzania ni wamoja, ndo maana hata ujenzi wa misikiti na makanisa tunachangiana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwanzo umeanza na Assalam alaykum. Mwisho ukatubatiza. Hahahaha safi sana. Serekali haina dini. Maendeleo.hayana chama
Kama tulichomfanya jana akalazimika kumhakiki Lisu kwenye gizaHv kwa mfano akishinda alafu tume ile ya bwana yule wasimpomtangaza mtafanya nni?
Nakukatalia; nimewahi kuwa kiongozi wa kisiasa katika serikali kwa kuchaguliwa. Daima nilifanya Kampeni kistaarabu huku nikiwa nampigia Mungu magoti. Baadhi ya watu waliniuliza juu ya imani kwa nguvu za Giza, nikawajibu kwamba nataka nimjaribu Mungu nimwone katika hili. Nimeujua ukuu wake.Hahaaaa siasa na masuala ya Kiroho sahau kabisa ndg. Ukitaka kujua hivyo jaribu hata umwenyekiti wa mtaa uone shughuli yake.
Kanisani na Msiktini wanaenda formality tu. Lakini nguvu zao wanazijua vizuri wapi wanapata.
Kama wamepitishwa kwa hila inahusiana vipi na kura za wananchi?Hivi una habari kuwa ccm huko tayari ina majimbo 22?
Sasa hebu pata picha kura za urais kwenye hayo majimbo itakuwaje?
.
Chadema tukiwaambia ccm iko huku field huku nyie mko mitandaoni mnatoa mapovu
Asalam aleykum
Tukiwa tunashuhudia mtanange wa vyama vya siasa katika mchakato wa uchaguzi unaotarajiwa hapo badae October 28 ni vyema tukajadili kidogo Lissu anapata nguvu hii wapi na kutoka kwa nani.
Sote nchini na nje ya nchi tumeshuhudia imani, mapenzi, mvuto na baraka alizonazo Tundu Lissu huku tukishangazwa na jinsi anvyoruka viunzi magogo na mashimo kutoka kwa maadui wake.
Si jambo la kawaida hata kidogo, ni lazima tujiulizw hii ngivu inatoka kwa Lissu kama Lissu au kuna extra power( mysteious)
There must be a mystic power from God, a Devine power.
Walimpiga risasi 16 hakufa, wakamnyang'anya stahili zake kama mbunge za matibabu hakufa, wakamvua ubunge akasavaivu, wakasema hataurudi nchini huyo mlemavu akarudi, wakasema akirudi tu anapigwa nyingine na kwamba mwaka huu hawatakosa shabaha, mara ooh akija atafikia Segerea, huku wakiseama na kujiapiza atanyang'anywa passport, atafikia mahakamani, akaja mchana kweupe.
Alipofika wakasema chama chake hakitamteua Mbowe kashakula pesa za Nyarandu na Membe. Akateuliwa, wakasema hata pata fomu amefanya kampeni mapema fomu akapata, wakaja na single nyingine eti hajahakiki fomu zake.
Na leo Ameteuliwa.
Hivi vigingi vyote kuvivuka sio nguvu ya Lissu its a devine power.
Hii imenikumbusha kisa kimoja cha wana wa Israel wakitoka Misri wakiongoza na Yuda, Simion, kalebo.
Yuda alipofika nchini kannai aliwakuta wafilisti akapambana nao huku wakiwa na siraha kali moala magari ya kutembea wakati huo hakuna teknolojia hiyo dunia nzima ispokiwa kwa wafilisti. Lakini Yuda huyo ktk nchi ile yerusalem aliwafurumusha wanajeshi wapatao 1000 kwa siku moja na kuwaua wote kwa kutumia mfupa wa taya la Ngamia.
Baadae akazaliwa kiumbe mwenye Agano( nadhili ya Mungu) naye ni Samson aliweza kuua simba kwa mikono yake. Na kuwafunga mbweha zIdi ya elfu moja mkia kwa mkia kwa kutumia mkono wake
Amakweli Tundu Lissu ameua simba kwa mkono pale NEC.
Mungu mbariki Tundu LissuHapo kwenye ‘si jambo la kawaida hata kidogo’ umenifurahisha sana. Tundu Lissu ni nabii aliyetumwa na Mungu kutuokoa huku gizani tuliko sasa. Mungu yu pamoja nae.
Leo hali ilikuwa mbaya sana.. the pressure was just too much. Ila Mungu ni mwema sana. Na atatuvusha tu kiuwepesi kabisa. Viva Tundu Lissu.. Rais wetu kipenzi anayengoja kutangazwa tu.