Alafu mtu bado anaota ushindi kwa Lisu?Mkuu toa lema hapo hatoboi kabisaa arusha mjini..... Ingia tu kwenye page yake ya facebook utaona watu wanavyompinga waziwazi... Lema ni mzigo kwa arusha mjini....
Mko road mnakinukisha kama mnavyosema kila siku?siyo tutafanyaje , tayari tushafanya
Kabisa mkuu mfano hao wabunge 22 wa ccm ambao wameshapita wote watatoka majimboni mwao kwenda kushambulia kwinginekoShida ya hawa jamaa hawapo realistic na wakiambiwa ukweli wanaona unawapinga.... Hao jamaa wote unaowasema watakuwa wanapambania kurescue majimbo yao.. inamaana campain lisu anaweza kwenda na watu wachache wakumsapoti.
Njoo upande wa pili huku magu atakuwa na timu yake. Samia yake. Majaliwa yake na timu zingine nyingi inamaana wataichafua nchi nzima kweli kweli...
Hawa jamaa hawaoni uhalisia ila wanahali mbaya, uchaguzi sio jf tuu hamna wapiga kura humu... Na kipind hichi hela hawana..
Kama mnayajua hayo yote, woga wa nini sasa hadi mnajaribu kumfanyia figisu figisu? Jana tu fomu ya lissu imehakikiwa zaidi ya masaa saba wakati wagombea wengine hatukuona hizo figisu.Shida ya hawa jamaa hawapo realistic na wakiambiwa ukweli wanaona unawapinga.... Hao jamaa wote unaowasema watakuwa wanapambania kurescue majimbo yao.. inamaana campain lisu anaweza kwenda na watu wachache wakumsapoti.
Njoo upande wa pili huku magu atakuwa na timu yake. Samia yake. Majaliwa yake na timu zingine nyingi inamaana wataichafua nchi nzima kweli kweli...
Hawa jamaa hawaoni uhalisia ila wanahali mbaya, uchaguzi sio jf tuu hamna wapiga kura humu... Na kipind hichi hela hawana..
Sababu za kuhakikiwa masaa saba ilikuwa ni nini?Kama mnayajua hayo yote, woga wa nini sasa hadi mnajaribu kumfanyia figisu figisu? Jana tu fomu ya lissu imehakikiwa zaidi ya masaa saba wakati wagombea wengine hatukuona hizo figisu.
Njia iliyotumika kumpitisha Jana kuwa mgombea ndio hivyo atakavyotangazwa kuwa rais WA jamhuri ya muungano WA Tanzania tulia menHv kwa mfano akishinda alafu tume ile ya bwana yule wasimpomtangaza mtafanya nni?
Wamepotea kabisa hawana hamu miyoni mwao wanagugumia tu huku wakiona ukuu wa MUNGU unavyotamalakiNdugu zangu wa kijani siwaoni kabisa huku ..wamepoteana kabisa na wengine muda huu wanaandikiwa mada za kupost kesho kumponda mgombea wa CHADEMA
Akili zako unazijua mwenyeweHivi una habari kuwa ccm huko tayari ina majimbo 22?
Sasa hebu pata picha kura za urais kwenye hayo majimbo itakuwaje?
.
Chadema tukiwaambia ccm iko huku field huku nyie mko mitandaoni mnatoa mapovu
Sababu ya yy kuchelewa mnaijua na ni uzembe wake hayupo organized na ujuaji mwingi... Mkuu bila timu imara jamaa hatoboi na ndo maana suggestion ilikuwa ni kuungana kama kweli wanania ya kuitoa ccmKama mnayajua hayo yote, woga wa nini sasa hadi mnajaribu kumfanyia figisu figisu? Jana tu fomu ya lissu imehakikiwa zaidi ya masaa saba wakati wagombea wengine hatukuona hizo figisu.
Wee una akili zinafanya kazi vizuri au ndio umeamua kuziweka juu?hao wabunge wamechaguliwa na wanachi?Ashinde kwa kura zipi mkuu?.. Wakati ccm imeshawapiga bao tangu kwenye idadi ya wapiga kura na sasa hivi tayari ina wabunge 22 kibindoni.
Ndiyo mkuu,Akili zako unazijua mwenyewe
Endelea kushangaaWee una akili zinafanya kazi vizuri au ndio umeamua kuziweka juu?hao wabunge wamechaguliwa na wanachi?
Yanaweza kuwa zaidi ya hayo, asifikiri JW wote wanamkubali, watu washamchokaKama haya? View attachment 1548451
tafuta maisha yako acha umbeya acha kujadili watu tumia akili yako vizuriTukiachana na siasa, kiubinadamu kabisa, waliohusika na shambulio lile hawajisikii vibaya wakimuona anavyojikongoja kwenye kutembea?! Huo ulemavu waliompa jamani inaskitisha sana.
Namshkuru Mungu tu naona wamempa ujasiri na upako wa ajabu sana.. maana unaweza tu kumsoma usoni kuwa HE IS UNSTOPPABLE. Nakuchechemea kote ila anakiendea kiti cha Urais. Wamelikoroga, Lissu anawapokonya kiti. Na wananchi jamani hamtwambii kitu, tunamtaka Lissu tu.
Hv kwa mfano akishinda alafu tume ile ya bwana yule wasimpomtangaza mtafanya nni?
Watafiti bro sio wapiga kura siyo tume ya uchaguzi hawajui wanae mhoji anakichinjio au la.Hakuna mseto na shetani , watafiti wamedukua kwamba Lissu anashinda kwa 75%
πππππ Dah nimecheka sana. Sasa hapo mkuu wetu anaanda ijuumaa moja aingie msikiti mmoja achange pesa ya kujenga kanisa.Watanzania ni wamoja, ndo maana hata ujenzi wa misikiti na makanisa tunachangiana.
jibuni swali hili "kama mnajua hatoboi, sasa woga wa nini?Sababu ya yy kuchelewa mnaijua na ni uzembe wake hayupo organized na ujuaji mwingi... Mkuu bila timu imara jamaa hatoboi na ndo maana suggestion ilikuwa ni kuungana kama kweli wanania ya kuitoa ccm
Ila kama nikutengeneza cv na yy aliwahi kugombeaga uraisi basi ataipata
Wabunge wenu machachari karibia wote majimboni hali yao ni mbaya kuanzia kwa mbowe,heche, bulaya, mdee..